Thursday, May 26, 2016

Profesa Jay azungumza kwa mara nyingine Bungeni

 Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa siku ya pili mfululizo imeendelea kujadiliwa tangu ilivyoombwa na Waziri Jumanne Maghembe kiasi cha Sh. 135,797,787,000 .
Wabunge mbalimbali walipata nafasi ya kuchangia maoni yao, nakukutanisha na Mbunge wa Mikumi Joseph Haule maarufu Profesa Jay aliposimama na kusema…>>>
Kama kweli tunataka tulinde rasilimali zetu na wanyama wetu tuwape wananchi elimu ili wajue vitu vya kufanya na vipi si vyakufanya, lakini sasa hivi ndugu zetu wanaokaa karibu na mbuga wameonekana kuwa wanateswa.
‘Na niwaambietu Mikumi kuna watu wengine tumezika nguo kwasababu hata maiti zao hatukuweza kuzipata kwasababu wamepigwa risasi ndani ya hifadhi. Kwa hiyo kutokana na hilo tunataka tuisisitize Serikali kama kweli mnataka tulinde rasilimali za Mikumi’
Tupunguze uadui huu kati ya Wananchi wanaoishi kwenye vijiji vinavyopakana kwenye hifadhi  na watu wa hifadhi. Tunapaza sauti ndugu zetu wanakufa lakini hakuna linalochukuliwa lolote
Full video ya Profesa Jay nimekuwekea hapa chini, ukimaliza kuitazama niachie maoni yako ili akipita baadae azisome

Wednesday, May 25, 2016

Eric Cantona na kumbukumbu zake akiwa Mchezaji wa Man United

FEATURES

24/05/2016 12:30, Report by Gemma Thompson. Video: Stephen Bibby.

VIDEO: CANTONA'S MANCHESTER MEMORIES

As he celebrates his 50th birthday, Manchester United legend Eric Cantona has reflected on his memories of life with the Reds and the best period of his career.
In an exclusive interview with MUTV, the Frenchman looked back at one of his most famous moments for United when he volleyed home a late winner in the FA Cup final at Wembley to seal the Double Double 20 years ago.
Asked whether his winning strike against Liverpool was one of the best moments of his United career, he told MUTV: "Yes because we scored in the last minutes of the game. And it was Liverpool and the last game of the season. It was for the Double, so of course it was special."
Cantona feels the 1996 achievement was extra special due to the sprinkling of young players throughout the squad - the likes of David Beckham, Nicky Butt, Paul Scholes and the Neville brothers, Gary and Phil.

"The second Double was the best one. The first [in 1994] was special but the second one was with a new generation of players and players coming from the Academy. It was their first year, they didn’t have any experience and we won the Double altogether. It was a great season and a special generation of players.
"Manchester United is one of the greatest and richest clubs in the world who can buy anybody but they work a lot on young players. They mix the players they can buy and the young players to make a great team. And like Barcelona, United can keep their players. Unfortunately clubs like Ajax sometimes they have a great generation of players but they cannot keep them - two years after [they are successful] the players go to Milan or Barcelona or United. At United they can keep young players, like Ryan Giggs. He spent over 20 years at the club as a player.
"The best time of my career as a footballer was in Manchester," Eric added. "Between 26 and 30 they are the best years for a player and I spent them here and I have been lucky to spend these years in Manchester with Ferguson, the greatest manager, and with great players, two generations of players.
"I have been very lucky. Since I retired feels like yesterday. I have tried to do something else and try to find a way to express myself in different ways and I’m happy."

Baada ya Jackline Wolper kuwa na Harmonize, kataja jina analomuita Diamond kwa sasa





Kwa sasa headlines nyingi katika upande wa mastaa Tanzania ni stori kuhusu penzi la muigizaji Jackline Wolper na msanii wa Bongo fleva kutoka Wasafi Classic Baby (WCB)Harmonize ndio Topic kubwa town.
Katika mahojiano na Take One ya Clouds TV  na Zamaradi MketemaJackline Wolperameeleza mambo kadhaa kuhusiana na penzi lake la HarmonizeDiamond ambaye aliwahi kuwa mpenzi wake anachukuliaje mahusiano yao?
“Diamond rafiki yangu sana ni mtu ambae nategemea hata kuja kufanya nae filamu, Diamondi ni rafiki yangu sana licha ya watu wanaweza wasielewe, lakini sasa hivi Diamond ni baba mkwe wangu,
“kuhusu Harmonize nampenda kwa sababu ana hofu ya mungu, ana heshima sana mwisho hawezi kufanya maamuzi bila kuomba ushauri, katika kunipenda mimi alipiatia pia kuomba ushauri kwa Diamond ambaye ni boss wake kaka yake na kupewa ruhusa kwa hiyo Baraka zimetoka kwa Diamond mwenyewe”
Source: Millard ayo#

Bill Cosby atakiwa mahakani



Image copyrightREUTERS
Jaji nchini Marekani ameamuaru mchekeshaji, Bill Cosby, kusimama mahakamani dhidi ya kesi kwa madai ya unyanyasaji wa kijinsia.
Cosby anatuhumiwa kwa makosa ya kumdhalilisha wanawake katika makazi yake mnamo mwaka 2004 baada ya kumlewesha kwa kitu kinachodaiwa dawa za kulevya.
Mchekeshaji huyo,ambaye awali kabla ya masahibu haya alikuwa ni mmoja miongoni mwa wachekeshaji maarufu wa runinga nchini Marekani, tayari amekwisha kumbana na misukosuko ya kukabiliwa na wimbi la madai unyanyasaji wa kijinsia.
Wanawake waliowengi, ambao alikuwa na mahusiano nao miaka ya 1960 wao hawawezi tena kufungua mashtaka ya jinai. Kufuatia hali hiyo Cosby amekana madai yote yanayomkabili.
Source:BBC Swahili

Sunday, May 22, 2016

Kauli ya Louis van Gaal baada ya Ubingwa wa Kombe la FA kwa Man United


Louis van Gaal amekuwa akiandamwa na tetesi zinazohusu hatma ya kibarua chake, aliongea kauli zya kujivunia kama hana hofu na habari zinazoendelea.‘Hii ni furaha kubwa kwa klabu na mashabiki na kwangu pia ambaye nimefanikiwa kushinda taji hili nikiwa katika nchi nne tofauti ni makocha wachache wanaoweza kujivunia hilo, hivyo nina furaha sana na jambo hili”
Source: Millard Ayo

Hii ndiyo Meli Mpya Kubwa Duniani, Inachukua Abiria 6,780


Mapema wiki hii meli ambayo ina uwezo wa kuchukua abiria 6,780 iling’oa nanga Southampton kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kabla ya uzinduzi rasmi, Watu 3000 wamepata bahati kupanda  meli hii kubwa duniani. Meli hiyo inayojulikana kwa jina la Harmony of the sea ilitoka Southampton siku ya jumapili katika safari yake ya kwanza ya kibiashara kabla haijarudi tena Uingereza.
Hizi ni baadhi ya picha zinazoonyesha muonekano wa Meli hiyo
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
KKKKKKK
.
.
.
.
male
.
Source: Millard ayo

Monday, May 16, 2016

Aliyesababisha Mandela akamatwe akiri



Image copyrightB
Image captionMandela alikamatwa mwaka 1962 saa za usiku karibu na mji wa Durban.

Ajenti mmoja wa zamani wa shirika la ujasusi la marekani CIA, amekiri kuwa ndiye aliwafahamisha polisi wa Afrika kusini aliko rais wa zamani wa nchi hiyo Nelson Mandela, ambaye baadaye alikamatwa na kufungwa miaka 27 jela kwa kupinga utawala wa wazungu.
Ufichuzi huo uliofanywa na gazeti la Sunday Times muda mfupi kabla ya ya kifo cha jasusi mmarekani Donald Rickard, unafichua kuwa Mandela ambaye alikuja kuwa rais wa kwanza mweusi nchini Afrika kusini alikuwa akifuatiliwa na CIA.

Image copyrightAFP
Image captionMandela alikuwa rais mweusi wa kwanza nchini Afrika Kusini.

Mandela alikamatwa mwaka 1962 saa za usiku karibu na mji wa Durban akijifanya kuwa dereva wa texi, wakati gari lake lilisimamishwa kwenye kizuizi cha polisi.
Sasa ufichuzi wa ajenti huyo wa zamani wa CIA marehemu Donald Rickard unathibitisha ramsi kuwa ni yeye aliwajulisha polisi hatua ambayo ilisababisha Mandela kuwa mfungwa maarufu zaidi duniani.

Image copyrightAFP
Image captionUfichuzi huo unatarajwa kuiwekea shinikizo CIA kuitaka kutoa habari kuhusu kukamatwa kwa Nelson Mandela.

Wakati huo kiongozi yeyote wa kundi lililojihami alitajwa kuwa gaidi na mkomisti hatari zaidi nje ya muungano wa usovieti na tisho kwa nchi za magharibi.
Hata hivyo Mandela alikana kuwa mwanachama wa chama cha kikomisti.
Ufichuzi huo unatarajwa kuiwekea shinikizo CIA kuitaka kutoa habari kuhusu kuhusika kwake katika kukamatwa kwa Nelson Mandela na uungaji mkono wake serikali ya ubaguzi wa rangi.
source:BBC Swahili