Wednesday, December 17, 2014

Hii taarifa inawahusu wale watoto wawili wa Tanzania waliokua wameungana vifua.



Watoto 1Bila shaka kila aliekua anawafatilia au kusikia taarifa za hawa watoto atakua na hamu ya kujua kimeendelea nini baada ya kupelekwa kutibiwa nchini India ambapo mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete amethibitisha kupitia ukurasa wake wa twitter kwa kuyaandika haya.
Hospitali ya Apollo lndia imefanikiwa kuwatenganisha watoto mapacha toka Tanzania waliokuwa wameungana vifua‘
Source: Millard Ayo

Related Posts:

  • Hong kong bado hapakaliki WANAFUNZI: MAANDAAMANO BADO HONG KONG Waandamanaji Hong Kong Serikali ya eneo la Hong Kong imeitisha mazungumzo maalumu na viongozi wa wanafunzi ambao wamekuwa wakiratibu maandamano yaliyodumu kwa wiki mbili hadi sas… Read More
  • Sudan yawaibisha mabingwa wa Afrika Wachezaji wa Nigeria Mabingwa wateteza wa kombe la taifa bora barani Afrika Nigeria walishangazwa Ugenini baada ya kuchapwa bao moja kwa bila na Sudan na hivyobasi kusalia mkia katika kundi A la michuano ya kufuzu kwa faib… Read More
  • UN:Ebola kudhibitiwa kwa miezi mitatu David Nabarro Mjumbe wa Umoja wa Mataifa anayehusika na ugonjwa wa Ebola David Nabarro ameiambia BBC kuwa mlipuko wa ugonjwa huo magharibi mwa Afrika unaweza kudhibitiwa katika kipindi cha miezi mitatu. Dr.Nabarro al… Read More
  • 13 Simple Tricks To A Long And Happy Marriage It's no secret that marriage takes work. After all, we're only human, and humans make mistakes, have bad days and sometimes even forget to load the dishwasher (again). Nevertheless, some couples are able to foster happy,… Read More
  • England yang'ara kwa vibonde San Marino YAISAMBARATISHA SAN MARINO 5-0 Timu ya England imefanikiwa kupata ushindi mara mbili katika michezo miwili ya kundi E ya kufuzu kucheza michuano ya bara la Ulaya ya mwaka 2016 baada ya kupata ushindi mnono wa 5-0 dh… Read More

0 comments:

Post a Comment