Wednesday, December 17, 2014

Hii taarifa inawahusu wale watoto wawili wa Tanzania waliokua wameungana vifua.



Watoto 1Bila shaka kila aliekua anawafatilia au kusikia taarifa za hawa watoto atakua na hamu ya kujua kimeendelea nini baada ya kupelekwa kutibiwa nchini India ambapo mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete amethibitisha kupitia ukurasa wake wa twitter kwa kuyaandika haya.
Hospitali ya Apollo lndia imefanikiwa kuwatenganisha watoto mapacha toka Tanzania waliokuwa wameungana vifua‘
Source: Millard Ayo

0 comments:

Post a Comment