Bikira ni kigezo muhimu katika kujiunga na jeshi la Polisi la nchi hiyo.
Serikali
ya Indonesia inaelezwa kuruhusu kuwafanyia wanawake wanaotaka kujiunga
na Jeshi la Polisi kipimo cha bikira ,shirika la Human rights Watch
limeeleza.
Shirika hilo uangalizi wa haki...
Tuesday, November 18, 2014
Monday, November 17, 2014
LESOTHO WAPIGA HATUA KATIKA HILI, TANZANIA TUNABAKI WAPI KURUHUSU "LIVE COVERAGE" VYOMBO VYA HABARI MAHAKANI?
By Unknown at 3:47:00 PM
No comments
ACCESS TO INFORMATION, FREEDOM OF EXPRESSION ,AVOID PRESS FREEDOM VIOLATION
Ni mdogo mdogo mpaka wataipata haki kamili wana habari wa Lesotho pamoja na Vyombo vyote vy habari nchini humo, Imeanza television ya Taifa ,then na vingine vitafuata. Tukumbuke pia Kenya nao walishawahi kufanya kitu kama...
Friday, November 14, 2014
MSIMAMAO WA LIGI ZA SOKA TANZANIA
By Unknown at 4:50:00 PM
No comments
Vodacom Premier LeagueSeason: 2014-2015
Table
Pos
Team
Pld
W
T
L
GoalsDiff Pts
1
•
Mtibwa Sugar
7
4
3
0
107 15
2
•
...
HII NI STORI NINAYOSHARE NA WEWE KUTOKA BBC SWAHILI
By Unknown at 3:51:00 PM
No comments
watoto waongea lugha mpya isiyojulikana
Watoto wakiwa wamekaa na mamayao wakila
chakula.nchini Uganda, watoto watatu waliofungiwa na baba yao kwa miaka
saba wameanza kuzungumza lugha isiofahamika
Watoto
watatu kutoka kijiji cha Barca katika kaunti ndogo ya...