Tuesday, November 18, 2014

Polisi wa kike waelezwa kudhalilishwa kufanyiwa kipimo cha bikira



  • Bikira ni kigezo muhimu katika kujiunga na jeshi la Polisi la nchi hiyo.


 
Serikali ya Indonesia inaelezwa kuruhusu kuwafanyia wanawake wanaotaka kujiunga na Jeshi la Polisi kipimo cha bikira ,shirika la Human rights Watch limeeleza.
Shirika hilo uangalizi wa haki za binaadam liliwahoji Polisi wanawake na wanaotaka kujiunga na Jeshi la polisi ambao tayari wamepimwa katika miji sita ya nchini Indonesia,wawili kati yao wamefanyiwa kipimo hicho mwaka huu.

Monday, November 17, 2014

LESOTHO WAPIGA HATUA KATIKA HILI, TANZANIA TUNABAKI WAPI KURUHUSU "LIVE COVERAGE" VYOMBO VYA HABARI MAHAKANI?



ACCESS TO INFORMATION, FREEDOM OF EXPRESSION ,AVOID PRESS FREEDOM VIOLATION

Ni mdogo mdogo mpaka wataipata haki kamili wana habari wa Lesotho pamoja na Vyombo vyote vy habari nchini humo, Imeanza television ya Taifa ,then na vingine vitafuata. Tukumbuke pia Kenya nao walishawahi kufanya kitu kama hiki miezi kadhaa iliyopita. Isome hapo chini kwa lugha ya Kiingereza.
Media Regulation

Lesotho Television, a State television broadcaster run under the Lesotho National Broadcasting Service, was allowed to broadcast brief coverage, for the first time, of a High Court case.

Justice T’seliso Monaphathi permitted the television cameraman to take shots just minutes before he presided over a fraud case involving Lesotho’s former Minister of Finance Timothy Thahane. He is accused of defrauding the Government of Lesotho of over M18 million (equivalent of over R18 million) for an unauthorised vegetable farm in his home area.

This development gives hope to the media in that according to the High Court Act 1978 the judge has the power to order everyone to clear the court if he finds it fit. In the history of court proceedings in Lesotho television has never before been allowed to cover court proceedings. 

Friday, November 14, 2014

MSIMAMAO WA LIGI ZA SOKA TANZANIA



Vodacom Premier League
Season: 2014-2015

Table

Pos   Team Pld W T L GoalsDiff Pts
1 Mtibwa Sugar 7 4 3 0 107 15
2 Young Africans 7 4 1 2 94 13
3 Azam 7 4 1 2 84 13
4 Coastal Union 7 3 2 2 92 11
5 Kagera Sugar 7 2 4 1 62 10
6 JKT Ruvu 7 3 1 3 70 10
7 Simba 7 1 6 0 71 9
8 Polisi Morogoro 7 2 3 2 6-1 9
9 Mgambo JKT 7 3 0 4 4-3 9
10 Stand United 7 2 3 2 5-4 9
11 Ruvu Shooting 7 2 1 4 4-3 7
12 Prisons 7 1 3 3 6-1 6
13 Ndanda 7 2 0 5 8-4 6
14 Mbeya City 7 1 2 4 2-4 5

First Division League-Group A
Season: 2014-2015

Table

Pos   Team Pld W T L GoalsDiff Pts
1 Majimaji 10 6 3 1 14:77 21
2 Friends Rangers 9 5 4 0 11:56 19
3 Kimondo 10 5 1 4 12:84 16
4 Kurugenzi 10 4 4 2 12:93 16
5 Lipuli 7 4 2 1 6:33 14
6 Polisi Dar 8 3 3 2 9:63 12
7 African Sports 9 3 2 4 7:10-3 11
8 JKT Mlale 10 2 4 4 7:8-1 10
9 Ashanti United 8 3 0 5 7:12-5 9
10 Villa Squad 8 2 2 4 6:10-4 8
11 Tessema 7 2 0 5 2:9-7 6
12 African Lyon 10 1 1 8 8:14-6 4

First Division League-Group B
Season: 2014-2015

Table

Pos   Team Pld W T L GoalsDiff Pts
1 Toto African 10 7 1 2 169 22
2 Mwadui 8 4 3 1 128 15
3 Polisi Tabora 8 4 3 1 74 15
4 JKT Oljoro 9 4 3 2 123 15
5 Rhino Rangers 8 2 5 1 50 11
6 Polisi Mara 8 3 2 3 7-3 11
7 Kanembwa JKT 8 3 1 4 5-1 10
8 Polisi Dodoma 7 2 2 3 4-4 8
9 Panone 8 1 5 2 5-2 8
10 Geita 8 2 1 5 5-4 7
11 Bukinafaso 8 0 4 4 4-4 4
12 Green Warriors 6 0 2 4 2-6 2

HII NI STORI NINAYOSHARE NA WEWE KUTOKA BBC SWAHILI

watoto waongea lugha mpya isiyojulikana
Watoto wakiwa wamekaa na mamayao wakila chakula.nchini Uganda, watoto watatu waliofungiwa na baba   yao kwa miaka saba wameanza kuzungumza lugha isiofahamika
 
Watoto watatu kutoka kijiji cha Barca katika kaunti ndogo ya Aber Wilayani Oyam nchini Uganda wameanza kuzungumza lugha tofauti isiojulikana baada ya kufungiwa katika nyumba kwa miaka saba.
Lugha hiyo mpya imetajwa kuwa Leb -adam ikimaanisha lugha ya ubongo na jamii ya eneo hilo.
Inadaiwa kuwa baba ya watoto hao aliwafungia ili kuwalinda kutokana na hatari yoyote.
Kulingana ma gazeti la the monitor nchini Uganda,watoto hao hawajaathirika kiakili lakini hawawezi kuzungumza na watu wengine.Wanaamini tu kile baba yao anachowaambia.
Kulingana na mama yao watoto hao waliweza kuishi kwa kula mayai ya chura yaliochemshwa na majani,ambayo hula kila asubuhi na jioni na hutumia maji kutoka shimo lililochimbwa na baba yao.
Mama yao anasema kuwa baba ya watoto hao alimzuia kutozungumza nao hatua iliowafanya kutojifunza lugha ya kiluo wakati walipokuwa wadogo.
Mwanamke huyo amesema kuwa alionywa na baba huyo kutosema chochote kuhusu watoto hao