Tuesday, November 18, 2014

Polisi wa kike waelezwa kudhalilishwa kufanyiwa kipimo cha bikira

Bikira ni kigezo muhimu katika kujiunga na jeshi la Polisi la nchi hiyo.   Serikali ya Indonesia inaelezwa kuruhusu kuwafanyia wanawake wanaotaka kujiunga na Jeshi la Polisi kipimo cha bikira ,shirika la Human rights Watch limeeleza. Shirika hilo uangalizi wa haki...

Monday, November 17, 2014

LESOTHO WAPIGA HATUA KATIKA HILI, TANZANIA TUNABAKI WAPI KURUHUSU "LIVE COVERAGE" VYOMBO VYA HABARI MAHAKANI?

ACCESS TO INFORMATION, FREEDOM OF EXPRESSION ,AVOID PRESS FREEDOM VIOLATION Ni mdogo mdogo mpaka wataipata haki kamili wana habari wa Lesotho pamoja na Vyombo vyote vy habari nchini humo, Imeanza television ya Taifa ,then na vingine vitafuata. Tukumbuke pia Kenya nao walishawahi kufanya kitu kama...

Friday, November 14, 2014

MSIMAMAO WA LIGI ZA SOKA TANZANIA

Vodacom Premier LeagueSeason: 2014-2015 Table Pos     Team Pld W T L GoalsDiff Pts 1 • Mtibwa Sugar 7 4 3 0 107 15 2 • ...

HII NI STORI NINAYOSHARE NA WEWE KUTOKA BBC SWAHILI

watoto waongea lugha mpya isiyojulikana Watoto wakiwa wamekaa na mamayao wakila chakula.nchini Uganda, watoto watatu waliofungiwa na baba   yao kwa miaka saba wameanza kuzungumza lugha isiofahamika   Watoto watatu kutoka kijiji cha Barca katika kaunti ndogo ya...