Kundi D
Cameroon vs Cote d'voire
18:00
Guinea...
Wednesday, January 28, 2015
Kisa Cha Marafiki Watatu: Julius, Oscar Na Rashid..
By Unknown at 12:38:00 PM
No comments

Ndugu zangu,
Nimeandika
huko nyuma, kuwa watatu hawa, Julius Nyerere, Oscar Kambona na Rashid
Kawawa, kuwa ndio walikuwa Watanganyika wenye nguvu na ushawishi mkubwa
kwenye Tanganyika Huru.
Nchi ilikuwa changa, na viongozi nao walikuwa wachanga...
Sunday, January 18, 2015
JE UGUNDUZI WA KIFAA HIKI UTAWEZA KUPUNGUZA MICHEPUKO KATIKA MAHUSIANO?
By Unknown at 4:30:00 PM
No comments
Waswahili husema kwamba siku za
mwizi ni arobaini. Msemo huo sasa huenda ukafanikishwa miongoni mwa akina
baba ambao huenda kinyume na ndoa zao na wabakaji.
Hii ni baada
ya kubuniwa kwa kifaa kwa jina Semenspy kilicho na uwezo wa kubaini
majimaji yaliosalia katika chupi,nguo za kulalia,katika...
TANGAZO LA MTIHANI KIDATO CHA NNE 2015
By Unknown at 4:19:00 PM
No comments
Katibu Mkuu wa Baraza la Mitihani Tanzania Dr. Charles Msonde
Katibu
Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania anapenda kuwatangazia watu
wote wanaotaka kufanya Mtihani wa Kidato Cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT)
Mwezi Novemba 2015 kwamba usajili umeanza rasmi tarehe 01 Januari 2015.
Watahiniwa
...