Wednesday, January 28, 2015

Kombe la mataifa ya Afrika 2015

Kundi D    Cameroon vs Cote d'voire  18:00 Guinea...

Kisa Cha Marafiki Watatu: Julius, Oscar Na Rashid..

 Ndugu zangu, Nimeandika huko nyuma, kuwa watatu hawa, Julius Nyerere, Oscar Kambona na Rashid Kawawa, kuwa ndio walikuwa Watanganyika wenye nguvu na ushawishi mkubwa kwenye Tanganyika Huru. Nchi ilikuwa changa, na viongozi nao walikuwa wachanga...

Sunday, January 18, 2015

JE UGUNDUZI WA KIFAA HIKI UTAWEZA KUPUNGUZA MICHEPUKO KATIKA MAHUSIANO?

Waswahili husema kwamba siku za mwizi ni arobaini. Msemo huo sasa huenda ukafanikishwa miongoni mwa akina baba ambao huenda kinyume na ndoa zao na wabakaji. Hii ni baada ya kubuniwa kwa kifaa kwa jina Semenspy kilicho na uwezo wa kubaini majimaji yaliosalia katika chupi,nguo za kulalia,katika...

TANGAZO LA MTIHANI KIDATO CHA NNE 2015

 Katibu Mkuu wa Baraza la Mitihani Tanzania Dr. Charles Msonde Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania anapenda kuwatangazia watu wote wanaotaka kufanya Mtihani wa Kidato Cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT) Mwezi Novemba 2015 kwamba usajili umeanza rasmi tarehe 01 Januari 2015.  Watahiniwa ...