Friday, October 17, 2014

Ebola:Annan akosoa mataifa ya Magharibi


Annan anasema hajaridhishwa na juhudi za mataifa ya magharibi kupambana na Ebola

Katibu mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan amekosoa ambavyo mataifa ya magharibi yameshughulikia janga la Ebola.
Bwana Annan ameambia BBC kwamba hajaridhishwa kamwe na hatua za mataifa ya magharibi kupambana na Ebola.
''Ikiwa janga hilo lingekuwa limeathiri eneo lengine , hatua ambazo zingechukuliwa zingekuwa toifauti sana.''

Wakili asema Pistorius 'amefilisika'


Inaarifiwa Pistorius ametumia pesa zake kwa kesi inayomkabili
Pistorius aliangua kilio wakili wake alipoambia mahakama kuwa amefilisika


Mahakama inayosikiliza kesi dhidi ya mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius imeambiwa kuwa mwanariadha huyo amefilisika.
Hili lesemekana huku pande zote kwenye kesi zikitoa kauli yao ya mwisho kabla ya mahakama kutoa hukumu dhidi ya mwanariadha huyo.
Pistorius alipatikana na hatia ya mauji ya mpenzi wake Reeva Steenkamp bila ya kukusudia mwaka jana.
Jaji Thokozile Masipa anatarajiwa kutoa hukumu dhidi ya Pistorius Jumanne.
Anakabiliwa na kifungo cha miaka 15 lakini jaji anaweza kuamua kumpa kifungo cha nje au hata kumtoza faini.
Jaji ataanza kusoma hukumu Jumatatu na upande wa mashitaka unataka Pistorius apewe adhabu kubwa kuambatana na kosa lake.
Lakini mawakili wa Pistorius wameteta wakisema anapaswa kupewa adhabu ndogo kama vile huduma kwa jamii.
Wanadai kuwa mwanariadha huyo huenda akateswa akiwa jela, hoja ambayo imepingwa vikali na mkuu wa magereza.
Pistorius aliangua kilio wakli wake aliposema kuwa pesa zake zimekwisha baada ya kesi yake kufanya kwa mirzi saba.
"sio tu kwamba hana pesa bali anahisi hana tena matumaini,'' alisema wakili wa Pistorius.
Hii ni kesi yake ya kwanza. Nini kimtendekea mwanamume huyu? Nyota yake ilikuwa inaanza kung'ara,'' aliongeza bwana Roux.
Wakili alimuomba jaji kumuonea huruma Pistorius wakati atakapotoa hukumu.
Mnamo siku ya Ijumaa, kiongozi wa mashitaka alikosoa pendekezo la Pistorius kuikabidhi familia ya Reeva pesa. Hata hivyo familia ya Reeva ilikataa pesa hizo ikisema ni pesa za uovu.
Bwana Nel pia alisema ikiwa Pistorius atapewa adhabu ya kiungo cha nje na kuamrishwa kuihudumia jamii, itakuwa ni hujuma kwai adhabu hiyo itakuwa ndogo sana kulingana na kosa lake.

Sunday, October 12, 2014

Vichwa vya habari magazeti ya leo October 12

.
.
.
.

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
,
,
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
DSC04138
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

Marekani yakiri mapambano ya mjini Kobani ni magumu

Waziri wa ulinzi wa Marekani Chuck Hagel amesema siku ya Jumamosi kuwa mji wa Syria wa Kobani ni tatizo kubwa na gumu, lakini mashambulizi ya angani yamepiga hatua katika kuwarudisha nyuma wapiganaji wa Dola ya Kiislamu.

Syrien Türkei Grenze Kämpfe um Kobane 10.10.2014
Vikosi vya wapiganaji wa Kikurdi wanaoulinda mji huo wameutaka muungano unaoogozwa na Marekani kuzidisha mashambulizi ya angani dhidi ya wapiganaji wa IS ambao wamezidi kuuzingira mji huo wa Syria uliyoko mpakani na Uturuki siku ya Jumamosi.

Saudia yaamuru kuungwa mkono magaidi



Saudia yaamuru  kuungwa mkono magaidi
Wizara ya Mwongozo na Wakfu ya Saudi Arabia imewataka mahatibu misikitini  kuyaungwa mkono makundi ya kigaidi. Taarifa iliyotolewa leo na wizara hiyo imeeleza kuwa, makhatibu wa misikiti nchini humo wametakiwa watoe hutuba zinazounga mkono makundi ya kigaidi na yanayobeba silaha katika baadhi ya nchi za Kiislamu. Taarifa zinasema kuwa, misimamo hiyo ya Saudi Arabia ni mwendelezo wa sera za utawala wa Aal Saud za kuyaunga mkono makundi ya kitakfiri na kigaidi ambayo hadi sasa yamesababisha ghasia na machafuko katika baadhi ya nchi za eneo la Mashariki ya Kati zikiwemo Syria, Iraq, Lebanon na Yemen. Imeelezwa kuwa, taasisi nyingi za kujitolea nchini Saudi Arabia ndizo zinazodhamini misaada ya kifedha kwa makundi ya kigaidi na kitakfiri yakiwemo Daesh, Jabhat Nusra na Taleban. 
IDHAA YA KISWAHILI YA TEHRAN

Stages of Surrender


I have to confess that I used to suffer from a very significant disease. You might not have noticed it by looking at me, but if you had lived with me for awhile you probably would have. It has a very special name, and it’s called grandparent-deprivation syndrome. Some of you probably have it too. That is when you have adult children who are married, but you don’t have grandchildren. For a number of years my wife and I were in this condition. It can be quite serious.

One day I was returning home from Florence, Italy, and took a short hop to Frankfurt, Germany. There I got on a 12-hour flight to Los Angeles and sat down in an aisle seat in the center block of seats on a 747. A short while later I saw an older gentleman coming up the aisle, holding the hands of a 2-year old blonde girl who wsa walking in front of him. They came up the aisle, stopped right next to me, and he said, “Sir, you just have won the prize! You get to sit with this young lady for the next 12 hours.” I rather suspect he was trying to deflect a negative reaction, but all I could think of to respond was to rub my hands together and say, “Oh goody!” The whole trip the two of us were making up games and doing all sorts of fun things. It was at that moment that I realized I was suffering from Grandparent Deprivation Syndrome (GDS). And there was only one possible cure.
Knowing this the excitement was great in our home a couple of years ago. We got a call from our oldest daughter asking if we could connect on Skype that night, She said she had a very important announcement. I thought to myself, “I know what this announcement is! She’s going to have a baby, awesome!” As the day went on my wife and I got more and more excited. Then the Skype call came through. Our daughter and her husband were there and she said, “Are you ready for the announcement?” I said yes! And she said, “I was just awarded my counseling license!” Yeah, awesome. I tried to look excited.
Around a year ago, however, we had another Skype call and this time it was the announcement we were waiting for. My daughter and her husband were going to have a baby! That announcement changed our lives. My wife started going on the internet every day to relearn the whole process and see what size the baby must be at each stage. It was all pretty exciting stuff! I was suddenly seeking out other grandparents and discussing their annoying pictures at great length. Everything was changing. Then on April 6, 2014, the baby was born. Six pounds nine ounces and twenty and a half inches long. His name is Julien Johann Clouzet.
But why am I telling you all this, beside the fact that I am now one of those annoying grandparents myself? There is an important spiritual lesson in all this. While Julien was born at a certain size he was not at that size three months before. And he has not stayed that size in the days and weeks afterward. He is eating and eating and growing an growing (great diet program for mom!). Every day he is a little bit bigger. Every week there are features there that were not there before. When it comes to babies, both before and after they are born, it’s all about growth, it’s all about development.
You see, growth is wired into everything in life. If a plant or a creature is alive and healthy, it’s going to grow in some way. It is the same way with spiritual life. In Mark 4:26-28 (NIV) Jesus told a parable. It’s unique to Mark. He said, “This is what the kingdom of God is like. A man scatters seed on the ground. Night and day, whether he sleeps or gets up, the seed sprouts and grows, though he does not know how. All by itself the soil produces grain–  first the stalk, then the head, then the full kernel in the head.” It doesn’t take long to figure out that Jesus isn’t telling this story so we can know more about plants.
Notice a few things here. First there’s development. A healthy person never stays in the same place. A healthy person is always growing in some way. If they are no longer growing physically then they are growing mentally, emotionally, or spiritually. When it comes to spiritual things (the kingdom of God) there is growth, development, and change. The parable tells us that spiritual life is developmental, but there is a second piece to it. Spiritual growth is does not arise from human effort. You don’t grow either physically or spiritually by human effort. My daughter today is not working very hard to make the baby grow. She is working very hard to allow the baby to grow (by feeding and caring for its heeds), but the growth itself is actually a miracle, just as it was when Julien was a fetus. You can’t grow spiritually by trying to. When spiritual growth comes, it is always a miracle. For more lesson visit www.the battle of armageddon.com.

13 Simple Tricks To A Long And Happy Marriage


It's no secret that marriage takes work. After all, we're only human, and humans make mistakes, have bad days and sometimes even forget to load the dishwasher (again).


Nevertheless, some couples are able to foster happy, healthy, totally awesome marriages that actually do last a lifetime. How?
a Reddit thread emerged Sunday asking the happily hitched to reveal their secrets to marital success. Here's what they had to say: