Monday, June 22, 2015

Jaji Warioba asema kitu juu ya wagombea urais CCM

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amewashangaa makada wanaojinadi kuwa ni wasafi na waadilifu, akisema sifa hizo zinatakiwa zitolewe na jamii. Jaji Warioba, mmoja wa watu ambao wamekuwa wakikemea masuala ya ukiukwaji wa maadili, pia amesema...

Usher Raymond na Justin Beiber kulipa faini kwa kukopi wimbo wa "Somebody to Love"

...

Vilabu ruksa kusajili 7 wa kigeni Ligi Kuu Tanzania Bara

Kiwango cha ushindani Ligi kuu ya Tanzania Bara kinatarajiwa kuongezeka na kufungua milango zaidi kwa wachezaji wa kigeni baada ya vilabu kuruhusiwa kusajili wachezaji 7 wa kigeni kuanzia msimu ujao wa ligi. Awali, baadhi ya vilabu vinavyoshiriki ligi kuu ya Tanzania Bara...

Mchezaji wa kigeni kulipa Tanzania

Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) limepitisha azimio la kila mchezaji wa kigeni kulipa dola 2,000 ( wastani wa milioni 5) kwa kila msimu atakaocheza ligi kuu ya Tanzania. Kiasi hicho cha pesa kitaanza kulipwa katika msimu ujao wa ligi wa 2015/2016 . Wachezaji wa kigeni waliosalia kuendelea...