Dar es
Salaam. Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji
Joseph Warioba amewashangaa makada wanaojinadi kuwa ni wasafi na
waadilifu, akisema sifa hizo zinatakiwa zitolewe na jamii.
Jaji
Warioba, mmoja wa watu ambao wamekuwa wakikemea masuala ya ukiukwaji wa
maadili, pia amesema...
Monday, June 22, 2015
Vilabu ruksa kusajili 7 wa kigeni Ligi Kuu Tanzania Bara
By Unknown at 7:31:00 AM
No comments
Kiwango cha ushindani Ligi kuu ya Tanzania Bara kinatarajiwa kuongezeka na kufungua
milango zaidi kwa wachezaji wa kigeni baada ya vilabu kuruhusiwa
kusajili wachezaji 7 wa kigeni kuanzia msimu ujao wa ligi.
Awali,
baadhi ya vilabu vinavyoshiriki ligi kuu ya Tanzania Bara...
Mchezaji wa kigeni kulipa Tanzania
By Unknown at 7:22:00 AM
No comments
Shirikisho
la soka nchini Tanzania (TFF) limepitisha azimio la kila mchezaji wa
kigeni kulipa dola 2,000 ( wastani wa milioni 5) kwa kila msimu
atakaocheza ligi kuu ya Tanzania.
Kiasi hicho cha pesa kitaanza kulipwa katika msimu ujao wa ligi wa 2015/2016 .
Wachezaji
wa kigeni waliosalia kuendelea...