Tuesday, November 24, 2015

Mitandao ya Kijamii Kenya na Rais Magufuli wa Tanzania


Uchapakazi wa Rais Dkt John Magufuli unatuma ujumbe si kwa maafisa wa Tanzania pekee, bali na nchi za jirani pia na kuwaacha viongozi wa nchi hizo kwenye wakati mgumu. Kenya ambayo imekuwa ikifuatilia siasa za Tanzania tangu wakati wa kampeni, imeonesha kupenda mbinu za Magufuli na wananchi wake wanatamani mtu kama yeye.



Kwa kipindi kifupi alichoingia madarakani, Magufuli amefanya mambo makubwa na wananchi wamependa.
Ziara yake ya kushtukiza kwenye hospitali ya Muhimbili ilifichua uovu mwingi na kupelekea kufutwa kwa bodi ya wakurugenzi wa hospitali hiyo na kumuondoa Kaimu Mkurugenzi wake, Dk Hussein Kidanto. Ili kupunguza matumizi makubwa ya fedha za serikali kwaajili ya kugharamia safari za nje za viongozi wa nchi, Magufuli aliamua kuzisitisha mara moja. Dkt Magufuli pia alielekeza kiasi cha shilingi milioni 225 zilichangwa kwaajili ya kugharamia hafla ya wabunge kupongezana mjini Dodoma 

zipelekwe kwenda kununua vitanda. Badala yake shilingi milioni 15 pekee zilitumika kwaajili ya sherehe hiyo.



Siku chache baadaye vitanda hivyo na vifaa vingine vilinunuliwa na kupelekwa Muhimbili. Jumatatu hii Magufuli alitangaza kuondoa sherehe za maadhimisho ya siku ya Uhuru 
December 9 na fedha za maandalizi hayo zitumike kwa mambo mengine muhimu. Hayo na mambo mengine yamefanya Dkt Magufuli atrend nchini Kenya. 

Hizi ni baadhi ya tweets za wakenya: 


Magufuli akuje atoe Uhuru lock juu ye ni Pombe.
 — Dan Did It® (@Danielki_) November 23, 2015
Magufuli akuje atoe Uhuru lock juu ye ni Pombe.
— Dan Did It® (@Danielki_) November 23, 2015
Uhuru Kenyatta needs to borrow a leaf from his
fresher counterpart in Tanzania Magufuli!!!
— Fifi (@Sly_lis) November 23, 2015
Magufuli less than amonth in office vs Uhuru
more than 2.5 yrs in office. ‪#‎stateofthenation‬
— SHADRACK MUSYOKI (@Shadie_Musyoki)
November 23, 2015
#StateOfTheNation magufuli went into action
mood 2nd day in office,3 years down the
line,uhuru is still forming committes to tell him to
act
— TeamMafisi Pope (@MafisiPope) November
23, 2015
Pres. Uhuru has been talking since 2013, Pres.
Magufuli has been ACTING since 3 weeks ago.
More fruits in 3 weeks action than 3yrs talk.
— Collins BETT, Esq. (@CollinsFabien) November
23, 2015
As Tanzanians wake up to what Magufuli has
done, Kenyans wake up to what Uhuru has
promised @Ma3Route
— Muthui Mkenya (@MuthuiMkenya) November
23, 2015
"President Uhuru Kenyatta" should act not give
statement. We want see him act like Buhari, and
Magufuli. He has talked enough. Act now!!
— George Onyango (@geogias) November 23,
2015
Kenya should Take Notes from Magufuli ! This
guy has less Talks & more action…
— B L U E P R I N T (@iambarea) November 24,
2015
Since Kenyans want Magufuli so bad, we can
think of turning Kenya into one of our regions
— Magembe (@MSungwa_) November 24, 2015
Magufuli will deliver Buhari will deliver In Kenya
we need a cross breed of both. Maybe we try
Mashirima Kapombe. Weird names may work!
— Mathaland™ (@MwalimuTony) November 23,
2015
Magufuli has in 2wks achieved more than
Kenya's Jubilee government 3yrs reign of
mediocrity
— Stro'bae (@labokaigi) November 23, 2015
If only Kenya had a Magufuli
— Mwanthi ™ (@Mwanthi_W) November 23, 2015
Magufuli should come and be the president of
Kenya too bana..
— 孫子兵法™ (@Kubz_Bomaye) November 23,
2015
Can we have a magufuli clone in Kenya pliz ?
— Alawi #77 (@alawiabdul) November 22, 2015
President Magufuli serious on cost cutting.
Kenya should learn from this https://t.co/
E021SxAnWa
— Nner® (@OriemaOduk) November 22, 2015
GOD Please bless kenya with a president like
Tanzanians president Magufuli…
— Sandyihachy (@sandie_swat) November 22,
2015
I am now convinced more than ever than Kenya
needs a president from a minority group we have
never heard of like Magufuli is to Tanzania
— anita (@anitankirote) November 22, 2015
While in Kenya MPs are accompanying the DP to
The Hague, see next what Magufuli did..
— ButterCup (@nana63cess) November 22, 2015
Kenya and Tanzania should merge so that
Magufuli becomes our president too.
— Mungai (@erastu_) November 21, 2015
SOURCE: riwa.com

0 comments:

Post a Comment