Sunday, October 12, 2014

Vichwa vya habari magazeti ya leo October 12

.
.
.
.

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
,
,
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
DSC04138
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

Marekani yakiri mapambano ya mjini Kobani ni magumu

Waziri wa ulinzi wa Marekani Chuck Hagel amesema siku ya Jumamosi kuwa mji wa Syria wa Kobani ni tatizo kubwa na gumu, lakini mashambulizi ya angani yamepiga hatua katika kuwarudisha nyuma wapiganaji wa Dola ya Kiislamu.

Syrien Türkei Grenze Kämpfe um Kobane 10.10.2014
Vikosi vya wapiganaji wa Kikurdi wanaoulinda mji huo wameutaka muungano unaoogozwa na Marekani kuzidisha mashambulizi ya angani dhidi ya wapiganaji wa IS ambao wamezidi kuuzingira mji huo wa Syria uliyoko mpakani na Uturuki siku ya Jumamosi.

Saudia yaamuru kuungwa mkono magaidi



Saudia yaamuru  kuungwa mkono magaidi
Wizara ya Mwongozo na Wakfu ya Saudi Arabia imewataka mahatibu misikitini  kuyaungwa mkono makundi ya kigaidi. Taarifa iliyotolewa leo na wizara hiyo imeeleza kuwa, makhatibu wa misikiti nchini humo wametakiwa watoe hutuba zinazounga mkono makundi ya kigaidi na yanayobeba silaha katika baadhi ya nchi za Kiislamu. Taarifa zinasema kuwa, misimamo hiyo ya Saudi Arabia ni mwendelezo wa sera za utawala wa Aal Saud za kuyaunga mkono makundi ya kitakfiri na kigaidi ambayo hadi sasa yamesababisha ghasia na machafuko katika baadhi ya nchi za eneo la Mashariki ya Kati zikiwemo Syria, Iraq, Lebanon na Yemen. Imeelezwa kuwa, taasisi nyingi za kujitolea nchini Saudi Arabia ndizo zinazodhamini misaada ya kifedha kwa makundi ya kigaidi na kitakfiri yakiwemo Daesh, Jabhat Nusra na Taleban. 
IDHAA YA KISWAHILI YA TEHRAN

Stages of Surrender


I have to confess that I used to suffer from a very significant disease. You might not have noticed it by looking at me, but if you had lived with me for awhile you probably would have. It has a very special name, and it’s called grandparent-deprivation syndrome. Some of you probably have it too. That is when you have adult children who are married, but you don’t have grandchildren. For a number of years my wife and I were in this condition. It can be quite serious.

One day I was returning home from Florence, Italy, and took a short hop to Frankfurt, Germany. There I got on a 12-hour flight to Los Angeles and sat down in an aisle seat in the center block of seats on a 747. A short while later I saw an older gentleman coming up the aisle, holding the hands of a 2-year old blonde girl who wsa walking in front of him. They came up the aisle, stopped right next to me, and he said, “Sir, you just have won the prize! You get to sit with this young lady for the next 12 hours.” I rather suspect he was trying to deflect a negative reaction, but all I could think of to respond was to rub my hands together and say, “Oh goody!” The whole trip the two of us were making up games and doing all sorts of fun things. It was at that moment that I realized I was suffering from Grandparent Deprivation Syndrome (GDS). And there was only one possible cure.
Knowing this the excitement was great in our home a couple of years ago. We got a call from our oldest daughter asking if we could connect on Skype that night, She said she had a very important announcement. I thought to myself, “I know what this announcement is! She’s going to have a baby, awesome!” As the day went on my wife and I got more and more excited. Then the Skype call came through. Our daughter and her husband were there and she said, “Are you ready for the announcement?” I said yes! And she said, “I was just awarded my counseling license!” Yeah, awesome. I tried to look excited.
Around a year ago, however, we had another Skype call and this time it was the announcement we were waiting for. My daughter and her husband were going to have a baby! That announcement changed our lives. My wife started going on the internet every day to relearn the whole process and see what size the baby must be at each stage. It was all pretty exciting stuff! I was suddenly seeking out other grandparents and discussing their annoying pictures at great length. Everything was changing. Then on April 6, 2014, the baby was born. Six pounds nine ounces and twenty and a half inches long. His name is Julien Johann Clouzet.
But why am I telling you all this, beside the fact that I am now one of those annoying grandparents myself? There is an important spiritual lesson in all this. While Julien was born at a certain size he was not at that size three months before. And he has not stayed that size in the days and weeks afterward. He is eating and eating and growing an growing (great diet program for mom!). Every day he is a little bit bigger. Every week there are features there that were not there before. When it comes to babies, both before and after they are born, it’s all about growth, it’s all about development.
You see, growth is wired into everything in life. If a plant or a creature is alive and healthy, it’s going to grow in some way. It is the same way with spiritual life. In Mark 4:26-28 (NIV) Jesus told a parable. It’s unique to Mark. He said, “This is what the kingdom of God is like. A man scatters seed on the ground. Night and day, whether he sleeps or gets up, the seed sprouts and grows, though he does not know how. All by itself the soil produces grain–  first the stalk, then the head, then the full kernel in the head.” It doesn’t take long to figure out that Jesus isn’t telling this story so we can know more about plants.
Notice a few things here. First there’s development. A healthy person never stays in the same place. A healthy person is always growing in some way. If they are no longer growing physically then they are growing mentally, emotionally, or spiritually. When it comes to spiritual things (the kingdom of God) there is growth, development, and change. The parable tells us that spiritual life is developmental, but there is a second piece to it. Spiritual growth is does not arise from human effort. You don’t grow either physically or spiritually by human effort. My daughter today is not working very hard to make the baby grow. She is working very hard to allow the baby to grow (by feeding and caring for its heeds), but the growth itself is actually a miracle, just as it was when Julien was a fetus. You can’t grow spiritually by trying to. When spiritual growth comes, it is always a miracle. For more lesson visit www.the battle of armageddon.com.

13 Simple Tricks To A Long And Happy Marriage


It's no secret that marriage takes work. After all, we're only human, and humans make mistakes, have bad days and sometimes even forget to load the dishwasher (again).


Nevertheless, some couples are able to foster happy, healthy, totally awesome marriages that actually do last a lifetime. How?
a Reddit thread emerged Sunday asking the happily hitched to reveal their secrets to marital success. Here's what they had to say:

Sudan yawaibisha mabingwa wa Afrika


Wachezaji wa Nigeria
Mabingwa wateteza wa kombe la taifa bora barani Afrika Nigeria walishangazwa Ugenini baada ya kuchapwa bao moja kwa bila na Sudan na hivyobasi kusalia mkia katika kundi A la michuano ya kufuzu kwa faibnali za dimba hilo.
Bao la Bakri Almadina dakika chache tu kabla ya kipindi cha kwanza kukamilika lilitosha kuiwezesha Sudan kushinda mchuano huo.
Kikosi cha Super Eagles chini ya Ukufunzi wa Stephen Keshi kilihitaji ushindi katika mechi hiyo ili kuanzisha kampeni yake ya kufuzu,baada ya kushindwa na Congo Brazaville na kutoka sare na Afrika kusini .
Katika Matokeo ya mechi zengine:
Malawi 0-2 Algeria
Uganda 0-1 Togo
Ethiopia 0-2 Mali
Mozambique 2-0 Cape Verde
S Leone 0-0 Cameroon
Congo 0-2 South Africa
DR Congo 1-2 Ivory Coast
Niger 0-0 Zambia
Sudan 1-0 Nigeria
Gabon 2-0 B Faso
Guinea 1-1 Ghana

UN:Ebola kudhibitiwa kwa miezi mitatu



David Nabarro

Mjumbe wa Umoja wa Mataifa anayehusika na ugonjwa wa Ebola David Nabarro ameiambia BBC kuwa mlipuko wa ugonjwa huo magharibi mwa Afrika unaweza kudhibitiwa katika kipindi cha miezi mitatu.
Dr.Nabarro alisema kuwa ina maana kuwa visa vipya vya ugonjwa huo vitapungua kila wiki.
Amesema kuwa kwa sasa maambukizi ya ugonjwa wa Ebola ni ya juu hata baada ya kuwepo kwa jitihada za kimataifa.
Nabarro amesema kuwa kuuelewa ugonjwa wa Ebola miongoni mwa jamii zilizoathirika kutasaidia kupambana nao kwa kuwa watu wanaelewa kwamba kuwatenga wagonjwa ndiyo njia bora ya kuzuia maambukizi.
Zaidi ya watu 4000 wameaga dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola wengi kutoka mataifa ya Sierra Leone, Liberia na Guinea.