Wataka pombe ionyeshe kiwango cha kalori kupunguza vitambi na unene wa kupitiliza
Pombe
inatakiwa kuwa na nembo inayoonyesha kiwango cha kalori au kipimo cha
joto litolewalo na chakula ili kupunguza vitambi au unene wa kupita
kiasi.
Madaktari wa afya ya umma, wameonya kuwa glasi kubwa ya
mvinyo inaweza kuwa na kiasi cha kalori 200- sawa na donati, aina...
Friday, October 31, 2014
Sunday, October 19, 2014
Maji ya kuosha wafu,kivutio cha biashara
By Unknown at 3:07:00 PM
No comments
mortuary
Katika tukio la kushangaza na la kutaka kujiongezea mapato pamoja na kushamiri kwa biashara,wafanyibiashara wawili katika mtaa wa Lobengula nchini Zimbabwe walizozania maji machafu yanayopatikana baada ya kuosha wafu ambayo huyatumia kuvutia wateja.
Kwa mujibu wa BBC, Wawili hao waliojulikana...
Wakatoliki wakataa kuwatambua mashoga.
By Unknown at 3:01:00 PM
No comments
Ndoa ya mashoga
Makundi ya kikatoliki yanayopigania haki za wapenzi wa jinsia moja yameelezea ghadhabu yao kutokana na hatua ya maaskofu wa kanisa hilo ya kukataa mapendekezo ya kutangaza msimamo kuhusu mashoga, wasagaji pamoja na watu waliotalakiana na wanaoana.
Wakati wa kumalizika kwa mkutano...
Hizi ni nukuu za mapenzi kutoka kwa watu maarufu duniani october 19, 2014
By Unknown at 2:32:00 PM
No comments
“Only once in your life, I truly believe, you find someone who can completely turn your world around. You tell them things that you’ve never shared with another soul and they absorb everything you say and actually want to hear more. You share hopes for the future, dreams that will never come...
Friday, October 17, 2014
Hiki ndicho kilichowahi kutokea katika tarehe kama ya leo octoba 17, miaka mingi iliyopita
By Unknown at 3:36:00 PM
No comments
Miaka 41 iliyopita katika siku kama hii ya leo nchi za Kiarabu zinazouza nje mafuta zilianza kutekeleza vikwazo vya mafuta dhidi ya Marekani, Uingereza na makampuni yanayouuzia mafuta utawala wa Kizayuni wa Israel. Hatua hiyo ilichukuliwa kutokana na uungaji mkono mkubwa wa Marekani na Uingereza...
Who Will Sing the Song? The 144000 of Revelation 14
By Unknown at 3:18:00 PM
No comments
An Amazing FactDuring the Gulf War, a small team of U.S. Navy SEALS created a diversion so convincing that it completely fooled the Iraqi army. About a dozen SEALS stormed the beaches of Kuwait and created such havoc that Iraqi generals believed the U.S.-led attack was coming from the sea. Iraq sent...
Hizi ni nukuu mbali mbali zinazohusu maisha, zilizowahi kusemwa na watu maarufu duniani
By Unknown at 3:14:00 PM
No comments
“Don't cry because it's over, smile because it happened.”
― Dr. Seuss
“I'm selfish, impatient and a little insecure. I make mistakes, I am out of control and at times hard to handle. But if you can't handle me at my worst, then you sure as hell don't deserve me at my best.”
― Marilyn Monroe
“You only live once, but if you do it right, once is enough.”
― Mae West
“There...
Ebola:Annan akosoa mataifa ya Magharibi
By Unknown at 2:57:00 PM
No comments
Annan anasema hajaridhishwa na juhudi za mataifa ya magharibi kupambana na Ebola
Katibu mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan amekosoa ambavyo mataifa ya magharibi yameshughulikia janga la Ebola.
Bwana Annan ameambia BBC kwamba hajaridhishwa kamwe na hatua za mataifa ya magharibi kupambana...
Wakili asema Pistorius 'amefilisika'
By Unknown at 2:36:00 PM
No comments
Inaarifiwa Pistorius ametumia pesa zake kwa kesi inayomkabiliPistorius aliangua kilio wakili wake alipoambia mahakama kuwa amefilisika
Mahakama inayosikiliza kesi dhidi ya mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius imeambiwa kuwa mwanariadha huyo amefilisika.
Hili lesemekana huku pande...
Sunday, October 12, 2014
Vichwa vya habari magazeti ya leo October 12
By Unknown at 3:43:00 PM
No comments
/
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
,
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
...
Marekani yakiri mapambano ya mjini Kobani ni magumu
By Unknown at 3:20:00 PM
No comments
Waziri wa ulinzi wa Marekani Chuck Hagel amesema siku ya Jumamosi kuwa mji wa Syria wa Kobani ni tatizo kubwa na gumu, lakini mashambulizi ya angani yamepiga hatua katika kuwarudisha nyuma wapiganaji wa Dola ya Kiislamu.
Vikosi vya wapiganaji wa Kikurdi wanaoulinda mji huo wameutaka muungano unaoogozwa...
Saudia yaamuru kuungwa mkono magaidi
By Unknown at 3:11:00 PM
No comments
Wizara ya Mwongozo na Wakfu ya Saudi Arabia imewataka mahatibu misikitini kuyaungwa mkono makundi ya kigaidi. Taarifa iliyotolewa leo na wizara hiyo imeeleza kuwa, makhatibu wa misikiti nchini humo wametakiwa watoe hutuba zinazounga mkono makundi ya kigaidi na yanayobeba silaha...
Stages of Surrender
By Unknown at 2:54:00 PM
No comments
I have to confess that I used to suffer from a very significant disease. You might not have noticed it by looking at me, but if you had lived with me for awhile you probably would have. It has a very special name, and it’s called grandparent-deprivation syndrome. Some of you probably have it too. That is when you have adult children who are married, but you don’t have grandchildren. For a number...
13 Simple Tricks To A Long And Happy Marriage
By Unknown at 2:34:00 PM
No comments
It's no secret that marriage takes work. After all, we're only human, and humans make mistakes, have bad days and sometimes even forget to load the dishwasher (again).
Nevertheless, some couples are able to foster happy, healthy, totally awesome marriages that actually do last a lifetime. How?
A a Reddit thread emerged Sunday asking the happily hitched to reveal their secrets to marital...
Sudan yawaibisha mabingwa wa Afrika
By Unknown at 2:10:00 PM
No comments
Wachezaji wa Nigeria
Mabingwa wateteza wa kombe la taifa bora barani Afrika Nigeria walishangazwa Ugenini baada ya kuchapwa bao moja kwa bila na Sudan na hivyobasi kusalia mkia katika kundi A la michuano ya kufuzu kwa faibnali za dimba hilo.
Bao la Bakri Almadina dakika chache tu kabla ya kipindi...
UN:Ebola kudhibitiwa kwa miezi mitatu
By Unknown at 2:02:00 PM
No comments
David Nabarro
Mjumbe wa Umoja wa Mataifa anayehusika na ugonjwa wa Ebola David Nabarro ameiambia BBC kuwa mlipuko wa ugonjwa huo magharibi mwa Afrika unaweza kudhibitiwa katika kipindi cha miezi mitatu.
Dr.Nabarro alisema kuwa ina maana kuwa visa vipya vya ugonjwa huo vitapungua kila wiki.
Amesema...