David de gea amekua akihusiswa na kuhamia Real Madrid misimu huu utakavyokwisha.
Manchester united wamempa ofa ya paundi 200,000 ili abaki
Kama atasaini atakua golikipa anaelipwa zaidi duniani
Louis van Gaal alikubali ijumaa hii kwamba klabu imempa mshahara mkubwa sana.
Manchester...
Sunday, April 26, 2015
TIGO WAMEINGIA KATIKA HEADLINES WAZINDUA INTANETI YA KASI ZAIDI 4G LTE
By Unknown at 9:22:00 AM
No comments
Muonekano katika duka la tigo mlimani city ambapo wateja walishuhudia jinsi gani mtandao huu wa kasi wa intaneti unavyofanya kazi kwa kuona matukio laivu kwa kutumia mtandao wa intaneti Kampuni ya simu Tigo Tanzania leo imezindua teknolojia mpya ijulikanayo kama 4G LTE ambayo utaifanya...
Je,miraa inaongeza nguvu za kiume?
By Unknown at 8:37:00 AM
No comments
Wanaume katika eneo la Meru mashariki mwa Kenya ambao hawana uwezo wa kuwatosheleza wake zao kupitia tendo la ngono sasa wametakiwa kutokuwa na wasiwas...
Friday, April 24, 2015
JK AONGOZA MAZISHI YA KITENGA MKOANI MOROGORO
By Unknown at 10:21:00 AM
No comments

Amiri
Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete (pichani kati) na Waziri Mkuu Mh.Mizengo
Pinda (pichani shoto) wakishuhudia askari wa jeshi la Wananchi (JWTZ)
wakipiga risasi...
SHEREHE YA UKUZAJI WA KISWAHILI YAENDELEA WASHINGTON, DC
By Unknown at 10:17:00 AM
No comments
Rais wa
CHAUKIDU Prof Lioba Moshi watatu toka kushoto akimkaribisha Rais mstaafu
Ali Hassan Mwinyi mara tu alipowasili kama mgeni rasmi chuo kikuu cha
Howard Washington, DC siku ya Alhamisi April 23, 2015 kulia ni Prof
Venessa White...
Wanawake wanaokuwa watawa waongezeka UK kutoka 15 kwa mwaka hadi 45
By Unknown at 9:52:00 AM
No comments
Watawa katika mkutano na kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa Francis
Idadi
ya wanawake wanaokuwa watawa imeongezeka pakubwa katika kipindi cha
miaka 25,kanisa katoliki nchini Uingereza na Wales limesema.
Takwimu
zinaonyesha kuwa...
Boko Haram labadilisha jina Nigeria
By Unknown at 9:42:00 AM
No comments
Kiongozi wa wapiganaji wa Boko Haram Abubakar Shekau
Picha mpya zimetolewa kuhusu wapiganaji wa Boko Haram ambao wanajielezea kuwa Islamic State Jimbo la Magharibi mwa Afrik...