Sunday, April 26, 2015

De Gea kupewa ofa ya Paund 200,000 ili kubaki old trafford na kupewa Kipa anaelipwa fedha nyingi zaidi

de gea

David de gea amekua akihusiswa na kuhamia Real Madrid misimu huu utakavyokwisha.
Manchester united wamempa ofa ya paundi 200,000 ili abaki
Kama atasaini atakua golikipa anaelipwa zaidi duniani

Louis van Gaal alikubali ijumaa hii kwamba klabu imempa mshahara mkubwa sana.
Manchester United wametoa ofa hiyo kwa David de Gea na kumfanya gilikipa ambae analipwa zaidi duniani kama atakubali kusaini mkataba mpya ambao atakua anapokea kitita cha paund laki mbili kwa wiki.(P.T)

TIGO WAMEINGIA KATIKA HEADLINES WAZINDUA INTANETI YA KASI ZAIDI 4G LTE

Muonekano katika duka la tigo mlimani city ambapo wateja walishuhudia jinsi gani mtandao huu wa kasi wa intaneti unavyofanya kazi kwa kuona matukio laivu kwa kutumia mtandao wa intaneti Kampuni ya simu Tigo Tanzania leo imezindua teknolojia mpya ijulikanayo kama 4G LTE ambayo utaifanya kuwa  mtandao wa intaneti wenye kasi zaidi kuliko yote nchini Tanzania 

Je,miraa inaongeza nguvu za kiume?



Wanaume katika eneo la Meru mashariki mwa Kenya ambao hawana uwezo wa kuwatosheleza wake zao kupitia tendo la ngono sasa wametakiwa kutokuwa na wasiwasi.

Friday, April 24, 2015

JK AONGOZA MAZISHI YA KITENGA MKOANI MOROGORO



Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete (pichani kati) na Waziri Mkuu Mh.Mizengo Pinda (pichani shoto) wakishuhudia askari wa jeshi la Wananchi (JWTZ) wakipiga risasi hewani kama sehemu ya heshima ya kumuaga aliyekuwa mkuu wa wilaya mpya ya Kyerwa mkoani Kagera jana ,Marehemu Luteni Kanali Benedict Kitenga (mstaafu) huko kwenye makaburi ya Mlima Kola Kigurunyembe mkoani Morogoro. PICHA NA IKULU.(Muro)
source:Mjengwa

SHEREHE YA UKUZAJI WA KISWAHILI YAENDELEA WASHINGTON, DC



Rais wa CHAUKIDU Prof Lioba Moshi watatu toka kushoto akimkaribisha Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi mara tu alipowasili kama mgeni rasmi chuo kikuu cha Howard Washington, DC siku ya Alhamisi April 23, 2015 kulia ni Prof Venessa White Jackson.

Wanawake wanaokuwa watawa waongezeka UK kutoka 15 kwa mwaka hadi 45



 
 Watawa katika mkutano na kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa Francis

Idadi ya wanawake wanaokuwa watawa imeongezeka pakubwa katika kipindi cha miaka 25,kanisa katoliki nchini Uingereza na Wales limesema.

Takwimu zinaonyesha kuwa idadi ya wanawake wanaokula viapo vitakatifu imeongezeka mara tatu katika kipindi cha miaka mitano kutoka wanawake 15 mwaka 2009 hadi 45 mwaka uliopita,ikiwa ni idadi kubwa tangu mwaka 1990.

Boko Haram labadilisha jina Nigeria

Kiongozi wa wapiganaji wa Boko Haram Abubakar Shekau
Picha mpya zimetolewa kuhusu wapiganaji wa Boko Haram ambao wanajielezea kuwa Islamic State Jimbo la Magharibi mwa Afrika.