David de gea amekua akihusiswa na kuhamia Real Madrid misimu huu utakavyokwisha.
Manchester united wamempa ofa ya paundi 200,000 ili abaki
Kama atasaini atakua golikipa anaelipwa zaidi duniani
Louis van Gaal alikubali ijumaa hii kwamba klabu imempa mshahara mkubwa sana.
Manchester United wametoa ofa hiyo kwa David de Gea na kumfanya gilikipa ambae analipwa zaidi duniani kama atakubali kusaini mkataba mpya ambao atakua anapokea kitita cha paund laki mbili kwa wiki.(P.T)
Manchester united wamempa ofa ya paundi 200,000 ili abaki
Kama atasaini atakua golikipa anaelipwa zaidi duniani
Louis van Gaal alikubali ijumaa hii kwamba klabu imempa mshahara mkubwa sana.
Manchester United wametoa ofa hiyo kwa David de Gea na kumfanya gilikipa ambae analipwa zaidi duniani kama atakubali kusaini mkataba mpya ambao atakua anapokea kitita cha paund laki mbili kwa wiki.(P.T)