Tuesday, May 27, 2014

TETESI ZA USAJILI KATIKA MAGAZETI YA UINGEREZA LEO

meneja wa Chelsea Jose Mourinho yuko tayari kumsajili beki wa Real Madrid Rafael Varane (Daily Mirror), Arsenal wapo tayari kutoa paundi milioni 3 kumwania nahodha wa Swansea, Ashley Williams (Metro), Arsenal pia wanamtaka kipa wa Cardiff David Marshall (Goal.com), inasemekana Rio Ferdinand anafikiria...

Sunday, May 25, 2014

BAADHI YA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI YA MCHEZO WA FAINALI KATI YA ATLETICO MADRID DHIDI YA REAL MADRID

Alex Livesey Iker Casillas pamoja na Marcelo wakishangilia ushindi  AFP.   Diego Costa akirudi katika bench dk 8 kipindi cha kwanza baada ya kushindwa kuendelea na mchezo Reuters .   Goli la kwanza la Atletico Madrid lilitokana na mpira wa kichwa uliopigwa...

HAYA NDIO MANENO ALIYOONGEA GARETH BALE BAADA YA KUTWAA TAJI LA KLABU BINGWA ULAYA

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya real Madrid ya nchini Hispania Gareth Bale amekiri kuwa ilikuwa ni njozi yake kuisaidia klabu yake  kutwaa taji la kombe la ulaya( UEFA) baada ya kushinda ushindi wa magoli 4-1 dhidi ya klabu ya Atletico Madrid katika muda wa nyongez...

Tuesday, May 20, 2014

Tetesi za usajili Ulaya

Tetesi za soka kwenye magazeti ya Uingereza leo:Liverpool na Inter Milan wanamtaka Ashley Cole (The Sun), Yaya Toure anataka kuondoka Manchester City kwa sababu hakuna mtu aliyemtakia heri katika siku yake ya kuzaliwa wiki iliyopita (The Sun), Paris St-Germain wanataka kutoa pauni milioni 50 kumnunua Edin Hazard (Daily Mirror), Mario Mandzukic, huenda akajiunga na Manchester United baada ya kuzozana...

Barcelona yatangaza kocha Mpya

*Barcelona wamteua Louis Enrique Wakati Manchester United wakifanya uteuzi wa kocha, Barcelona nao waliopoteza taji msimu huu sawa na Man U wamemteua Luis Enrique kuwa kocha wa kikosi chao cha kwanz...

Taswira mbali mbali za taifa Stars dhidi ya Zimbabwe

By Kilimanjaro Premium Lager on May 19, 2014 Bao pekee la John Bocco lililofungwa kipindi cha kwanza limeifanya Taifa Stars iibuke na ushindi katika mchezo wa kwanza kutafuta nafasi ya kuingia kwenye makundi ya kusaka nafasi ya kwenda Morocco mwakani katika kinyang’anyiro...