Sunday, May 25, 2014

BAADHI YA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI YA MCHEZO WA FAINALI KATI YA ATLETICO MADRID DHIDI YA REAL MADRID



Alex Livesey

Iker Casillas pamoja na Marcelo wakishangilia ushindi 


AFPAtletico Madrid's Brazilian-born forward Diego da Silva Costa (L) is substitutes by Atletico Madrid's forward Adrian Lopez during the UEFA Champions League Final.
 
Diego Costa akirudi katika bench dk 8 kipindi cha kwanza baada ya kushindwa kuendelea na mchezo


ReutersAtletico Madrid's Diego Godin (C) jumps and shoots the first goal for the team during their Champions League final
.
 
Goli la kwanza la Atletico Madrid lilitokana na mpira wa kichwa uliopigwa na beki wa timu hiyo Godin

0 comments:

Post a Comment