Tetesi za soka kwenye magazeti ya Uingereza leo:
Liverpool na Inter Milan wanamtaka Ashley Cole (The Sun), Yaya Toure anataka kuondoka Manchester City kwa sababu hakuna mtu aliyemtakia heri katika siku yake ya kuzaliwa wiki iliyopita (The Sun), Paris St-Germain wanataka kutoa pauni milioni 50 kumnunua Edin Hazard (Daily Mirror), Mario Mandzukic, huenda akajiunga na Manchester United baada ya kuzozana na Guardiola (Daily Mail), Man City wameanza mazungumzo ya kutaka kumsajili Bacary Sagna kutoka Arsenal (Daily Telegraph), Arsenal kumnyatia Serge Aurier, beki wa kulia kutoka Toulouse (Daily Star), Liverpool, Arsenal na Newcastle zinamtaka Mohamed Diame wa West Ham (Sun). source,Salim Kikeke
Tuesday, May 20, 2014
Tetesi za usajili Ulaya
By Unknown at 5:28:00 PM
No comments
Related Posts:
Al Shabab wateka miji miwili kusini mwa Somalia Magaidi wa kundi la al Shabab wamedai kuchukua udhibiti wa miji miwili kusini magharibi mwa Somalia siku chache tu baada ya kushambulia kituo cha vikosi vya Umoja wa Afrika katika eneo hilo. Msemaji wa al Shabab … Read More
Hivi ndivo Juan Cuadrado alivofanyiwa na Shabiki wa Juventus kwa Mapenzi mema Winga wa kimataifa wa Colombia na klabu ya Chelsea Juan Cuadrado ambaye kwa sasa anacheza kwa mkopo katika klabu ya Juventu… Read More
MwanaHalisi yaachiwa Huru- MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imesema Waziri wa Habari, Dk. Fennela Mkangara hakufuata utaratibu wa kisheria katika kulifungia gazeti la MwanaHALISI Julai 30 miaka mitatu iliyopita. Anaandika Erasto Stanslaus … (e… Read More
Mashehe 6 waliotekwa DRC wazungumza yaliyowasibu baada ya kurudi nchini … Read More
Diamond Platnumz atwaa Tuzo nchini Uganda Kushoto ni tuzo aliyochukua Diamond Platnumz. MKALI wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametwaa tuzo ya Msanii Bora wa Afrika katika tuzo zilizotolewa na Uganda Entertainment. Kupitia ukurasa wake wa … Read More
0 comments:
Post a Comment