Tuesday, May 20, 2014

Taswira mbali mbali za taifa Stars dhidi ya Zimbabwe


IMG_0374
Bao pekee la John Bocco lililofungwa kipindi cha kwanza limeifanya Taifa Stars iibuke na ushindi katika mchezo wa kwanza kutafuta nafasi ya kuingia kwenye makundi ya kusaka nafasi ya kwenda Morocco mwakani katika kinyang’anyiro cha kombe la mataifa ya Africa.

Hizi ni baadhi ya taswira kutoka uwanjani.

Timu zikiingia uwanjani
Timu zikiingia uwanjani
Kocha wa Taifa Stars Mart Nooij akiingia uwanjani
Kocha wa Taifa Stars Mart Nooij akiingia uwanjani
Timu uwanjani zikisubiri kukaguliwa
Timu uwanjani zikisubiri kukaguliwa
Rais wa TFF Jamal Malinzi akilisamia benchi la ufundi la Taifa Stars
Rais wa TFF Jamal Malinzi akilisamia benchi la ufundi la Taifa Stars
Krosi ya Thomas Ulimwengu
Krosi ya Thomas Ulimwengu
John Bocco aliwanyanyua mashabiki wa Taifa Stars
John Bocco aliwanyanyua mashabiki wa Taifa Stars
Thomas Ulimwengu akijaribu kumtoka beki wa Zimbabwe
Thomas Ulimwengu akijaribu kumtoka beki wa Zimbabwe
IMG_0409
Ulimwengu alikuta mwingi akichezewa madhambi na wachezaji wa Zimbabwe
Heka heka langoni
Heka heka langoni
IMG_0449
Pamoja na Zimbabwe kumiliki mpira kwa muda mrefu kipindi cha kwanza Stars iliendelea kuwa imara
Mashabiki walikuwa mstari wa mbele kuishangilia Taifa Stars
Mashabiki walikuwa mstari wa mbele kuishangilia Taifa Stars
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam alikuwa mmoja waliojitokeza kuishangilia timu ya taifa
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam alikuwa mmoja waliojitokeza kuishangilia timu ya taifa
Mbwana Samata akijaribu kumtoka beki
Mbwana Samata akijaribu kumtoka beki
IMG_0443
John Bocco aliendelea kuwa mwiba mkali kwa Zimbabwe
IMG_0551
Deogratias Munishi “Dida” alikuwa shujaa wa mchezo kutokana

0 comments:

Post a Comment