meneja wa Chelsea Jose Mourinho yuko tayari kumsajili beki wa Real Madrid Rafael Varane (Daily Mirror), Arsenal wapo tayari kutoa paundi milioni 3 kumwania nahodha wa Swansea, Ashley Williams (Metro), Arsenal pia wanamtaka kipa wa Cardiff David Marshall (Goal.com), inasemekana Rio Ferdinand anafikiria kwa makini hatua ya kujiunga na QPR baada ya kuondoka Man United (Guardian), boss wa Newcastle, Alan Pardew anataka kumsajili Steve Sidwell, Jack Colback, Wilfried Zaha na Ayoze Perez (Daily Star), Sunderland wameonesha nia ya kumsajili kipa wa Crystal Palace Julian Speroni (Daily Mail), Tottenham wamempa mkataba wa miaka mitatu meneja wa Southampton, Mauricio Pochettino, ambao anatarajiwa kusaini katika saa 48 zijazo (Daily Mirror).Source, Salim Kikeke.
Tuesday, May 27, 2014
TETESI ZA USAJILI KATIKA MAGAZETI YA UINGEREZA LEO
By Unknown at 7:59:00 AM
No comments
Related Posts:
Polisi wa kike waelezwa kudhalilishwa kufanyiwa kipimo cha bikira Bikira ni kigezo muhimu katika kujiunga na jeshi la Polisi la nchi hiyo. Serikali ya Indonesia inaelezwa kuruhusu kuwafanyia wanawake wanaotaka kujiunga na Jeshi la Polisi kipimo cha biki… Read More
MSIMAMAO WA LIGI ZA SOKA TANZANIA Vodacom Premier LeagueSeason: 2014-2015 Table Pos Team Pld W T L GoalsDiff Pts 1 … Read More
LESOTHO WAPIGA HATUA KATIKA HILI, TANZANIA TUNABAKI WAPI KURUHUSU "LIVE COVERAGE" VYOMBO VYA HABARI MAHAKANI? ACCESS TO INFORMATION, FREEDOM OF EXPRESSION ,AVOID PRESS FREEDOM VIOLATION Ni mdogo mdogo mpaka wataipata haki kamili wana habari wa Lesotho pamoja na Vyombo vyote vy habari nchini humo, Imeanza television ya Taifa ,then… Read More
HUYU DIAMOND PLATNAMZ TAYARI AMEISHIKA AFRIKA HIVI HIVI KIUTANI UTANI Post Ya Msanii AKA Kuhusu Mapokezi Ya Diamond Tanzania. By Sam Misago AKA ni miongoni mwa rappers wakali Africa ambaye hivi karibuni alikuwa South Africa na alishinda tuzo moja ya Channel O ambako p… Read More
HII NI STORI NINAYOSHARE NA WEWE KUTOKA BBC SWAHILI watoto waongea lugha mpya isiyojulikana Watoto wakiwa wamekaa na mamayao wakila chakula.nchini Uganda, watoto watatu waliofungiwa na baba yao kwa miaka saba wameanza kuzungumza lugha isiofaha… Read More
0 comments:
Post a Comment