Rais Kenyatta amemuagiza inspekta mkuu wa polisi kuendesha operesheni dhidi ya ugaidi.
Operesheni hiyo
inayoendeshwa na vikosi maalum vya...
Tuesday, September 8, 2015
Sunday, September 6, 2015
RAMSEY NOAH: Mimi na Siasa mbalimbali
By Unknown at 9:32:00 AM
No comments
Wakati wimbi la kisiasa likiwachukua wasanii wengi wa Tanzania kutoka tasnia ya muziki na wale wa maigizo( Bongo Movie), nchini Nigeria imekuwa tofauti kwa msanii wa maigizo nchini humo Ramsey Noah, ambaye pia ni staa wa movie ya Kibongo The Devil Kingdom aliyoshirikishwa na Marehemu Stevene Kanumba....
ACACIA Yaidhamini Stendi United kwa Kitita cha shilingi bilioni moja
By Unknown at 9:16:00 AM
No comments

Kampuni
ya uchimbaji wa madini ya dhahabu ya Acacia iliingia mkataba wa miaka
miwili na timu ya Stend United ya Mkoani Shinyanga kwa ajili ya
kushiriki ligi kuu ya Vodacom ambayo inategemewa kuanza tutimua vumbi
katikati ya mwezi huu. Stand United ni moja kati ya timu bora kabisa
katika kanda...
Al Shabab wateka miji miwili kusini mwa Somalia
By Unknown at 8:51:00 AM
No comments
Magaidi wa kundi la al Shabab wamedai kuchukua udhibiti wa miji
miwili kusini magharibi mwa Somalia siku chache tu baada ya kushambulia
kituo cha vikosi vya Umoja wa Afrika katika eneo hilo.
Msemaji wa al Shabab amesema kundi hilo limeteka miji miwili midogo
katika eneo la Lower Shabelle...
Saturday, September 5, 2015
Hivi ndivo Juan Cuadrado alivofanyiwa na Shabiki wa Juventus kwa Mapenzi mema
By Unknown at 7:55:00 AM
No comments
Winga wa kimataifa wa Colombia na klabu ya Chelsea Juan Cuadrado ambaye kwa sasa anacheza kwa mkopo katika klabu ya Juventus ya Italia, shabiki wake kafanya jambo hili la kuvutia baada ya kufurahishwa...
MwanaHalisi yaachiwa Huru-
By Unknown at 7:43:00 AM
No comments
MAHAKAMA
Kuu ya Tanzania imesema Waziri wa Habari, Dk. Fennela Mkangara hakufuata
utaratibu wa kisheria katika kulifungia gazeti la MwanaHALISI Julai 30
miaka mitatu iliyopita. Anaandika Erasto Stanslaus … (endelea...
Diamond Platnumz atwaa Tuzo nchini Uganda
By Unknown at 7:34:00 AM
No comments
Kushoto ni tuzo aliyochukua Diamond Platnumz.
MKALI wa
Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametwaa tuzo ya
Msanii Bora wa Afrika katika tuzo zilizotolewa na Uganda Entertainment.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Diamond amewashukuru mashabiki wake
waliompigia kura na kufanikiwa...
Ebola yatatiza tena Sierra Leone
By Unknown at 7:09:00 AM
No comments
Watu 1,000 nchini
Sierra Leone wamewekwa kwenye karantini baada ya kugunduliwa kuwa
mwanamke wa umri wa miaka 67 alifariki kutokana na Ebola.
Hilo limejiri siku tano tu baada ya kuanza kwa hesabu ya wiki sita iliyolenga kutangaza taifa hilo kuwa bila Ebola.
...
Putin: Sera mbovu za Ulaya, sababu ya mgogoro wa wahajiri'
By Unknown at 7:01:00 AM
No comments
Rais Vladmir Putin wa Russia amesema leo kuwa, mgogoro wa
wahajiri unaolikabili bara Ulaya kwa sasa umetokana na sera mbovu za
kigeni za nchi za bara hilo hususan zile ambazo ni wanachama wa Umoja wa
Ulaya (EU). Kiongozi huyo amesisitiza kuwa, uingiliaji...
Kikwete: Uwajibikaji utasaidia maendeleo ya Afrika
By Unknown at 6:50:00 AM
No comments
Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania amesema mapema leo kuwa, uwazi na
uwajibikaji utasaidia kuharakisha maendeleo barani Afrika. Rais Kikwete
amesema hayo wakati wa kufungua rasmi mkutano wa takwimu huria barani
Afrika ulioanza leo jijini Dar es Salaam. Kwenye hotuba yake Rais...