Thursday, December 18, 2014

Kombe la Dunia kuchezwa Mei na June?




Chama cha vilabu vikubwa vya soka barani ulaya (ECA) wanataka michuano ya kombe la dunia ya mwaka 2022 yatayofanyika nchi Qatar yafanyike kati ya Mei 5 na Juni 4. 
 
Shirikisho la soka duniani Fifa walitangaza mwezi uliopita kuwa michezo ya michuano hiyo itafanyika kati ya Januari na Februari au Novemba na desemba.  Lakini mapendekezo yanayotolewa na Chama cha vilabu vikubwa vya soka (ECA) na wakilishi wa ligi za kulipwa ulaya (EPFL) wanataka mashindano hayo yacheze mwanzo mwa majira ya joto sababu itakua ndio salama kwa afya za wachezaji.
 
Uamuzi wa shirikisho la mpira dunia Fifa kuhusu wakati gani michuano hiyo ifanyike inatarajiwa kutolewa Machi mwaka 2015. ECA na EPF wanaamini pendekezo yao mpya yanaonyesha jinsi mashindano inaweza kuchezwa Mei na Juni bila kuhatarisha afya za wachezaji na viongozi.

 Pia kufanyika kwa kombe la dunia mwezi mei na juni kutakua hakuna madhara kwa michuano ya klabu bigwa barani ulaya, michezo ya olimpiki na waumini wa dini ya kiislam watakua wamemaliza mfungo mtukufu wa Ramadhani 

.Source: Mjengwa

Related Posts:

  • Aliyesababisha Mandela akamatwe akiri Image copyrightBImage captionMandela alikamatwa mwaka 1962 saa za usiku karibu na mji wa Durban. Ajenti mmoja wa zamani wa shirika la ujasusi la marekani CIA, amekiri kuwa ndiye aliwafahamisha polisi wa Afrika kusini a… Read More
  • Bill Cosby atakiwa mahakani Image copyrightREUTERS Jaji nchini Marekani ameamuaru mchekeshaji, Bill Cosby, kusimama mahakamani dhidi ya kesi kwa madai ya unyanyasaji wa kijinsia. Cosby anatuhumiwa kwa makosa ya kumdhalilisha wanawake katika makazi… Read More
  • Upasuaji kwa njia ya Roboti Hospitali moja katika manispaa ya Chongqing nchini China imefaulu kutumia roboti kufanya upasuaji wa kutoa uvimbe kutoka mwili wa mgonjwa wa saratani ya kongosho.Hospitali hiyo imesema kuwa huo ulikuwa upasuaj… Read More
  • Hii ndiyo Meli Mpya Kubwa Duniani, Inachukua Abiria 6,780 Mapema wiki hii meli ambayo ina uwezo wa kuchukua abiria 6,780 iling’oa nanga Southampton kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kabla ya uzinduzi rasmi, Watu 3000 wamepata bahati kupanda  meli hii kubwa duniani. Mel… Read More
  • Kauli ya Louis van Gaal baada ya Ubingwa wa Kombe la FA kwa Man United Baada ya kufanikiwa kutwaa Kombe la FA akiwa na Man United, Louis van Gaalamezungumza kauli ya kujivunia, licha ya kuwa kibarua chake kipo mashakani kuchukuliwa na Jose Mourinho kwa… Read More

0 comments:

Post a Comment