Staa
wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz amekwea pipa leo kuelekea nchini
Uganda kwenye ''''White Paty'' inayoandaliwa na anayedaiwa kuwa ni
mpenzi wake wa sasa aishiye nchini humo. Zari.Kupitia mtandao wa
Instagram Diamond aliandika hivi.....KAMPALA!!! UGANDA!!! your boy is on
his way... #Zari_AllWhite_CirocParty.
Zari The boss lady.
Source: Clouds fm
0 comments:
Post a Comment