Video
iliyosubiriwa kwa muda mrefu na mashabiki wa Ali Kiba ‘Mwana’itaanza
kuonyeshwa ijumaa ya leo December 19 2014. Ali Kiba amethibitisha kuwa video
imekamilika kwa kutoa kionjo cha video hio na kusema ‘Video imetayarishwa
na muongozaji kutoka Afrika Kusini na imefanyika maeneo ya mjii wa Cape
...
Friday, December 19, 2014
Balotelli afungiwa mchezo mmoja na faini
By Unknown at 9:56:00 AM
No comments
Chama
cha Soka nchini Uingereza, kimemfungia mchezo mmoja, mshambuliaji wa
Liverpool, Mario Balotelli ikiwa ni adhabu kutokana na kile Super Mario
alichokiandika katika mitandao ya habari ya kijamii. Adhabu hiyo
itamlazimisha nyota huyo wa Italia, kukosa mchezo wakati timu yake ya
Liverpool itakapoikaribisha...
Jumuiya ya Ulaya yaungana dhidi ya Russia
By Unknown at 9:32:00 AM
No comments
Viongozi
wa Ulaya wamemaliza kikao chao mjini Brussels Ubelgiji, wakisema kwa
sasa wameungana zaidi kuliko ilivyokuwa awali katika kuikabili Urusi. Viongozi
hao wameonesha kuwa vikwazo vya kiuchumi havitadhoofishwa licha ya
matatizo ya kifedha yanayoikabili Urusi.
Badala yake hatua...
Thursday, December 18, 2014
MANENO YA MAMA TIBAIJUKA KATIKA MKUTANO WAKE NA WAANDISHI WA HABARI JUU YA ESCROW.
By Unknown at 5:13:00 PM
No comments

“Mimi Nijiuzulu kwa sababu gani? yaani kwa sababu ya mafanikio ya
kuwakomboa wanawake kwenye Elimu ndio mimi nijuzulu,maana kujiuzulu
kunasababu, na hakuna sababu ya mimi kufanya hivyo na sitofanya hivyo
kwani wanaodai mimi nijiuzulu ni wanafiki wenye nia mbaya na mimi ,na
mimi sijiuzulu...
Rihanna aajiriwa na Puma
By Unknown at 1:54:00 PM
No comments
Msanii wa muziki nchini Marekani Rihanna anajiandaa kuanza kufanya kazi katika kampuni ya michezo Puma.Mwanamziki huyo ametangazwa kuwa mkurugenzi wa ubunifu wa vifaa vya kike na atakuwa uso wa vifaa vya mazoezi vya wanawake.
Rihana
mwenye umri wa miaka 26 ataunda aina ya nguo zilizopo pamoja...
Wabunge warushiana ngumi bungeni Kenya
By Unknown at 1:41:00 PM
No comments
Wabunge
wa Kenya wametofautiana vikali bunge na kuvuana mashati huku
wakirushiana ngumi kufuatia mjadala kuhusu mswaada tatanishi wa usalama
ambao wabunge wa upinzani wanasema unakiuka uhuru wa wakenya.
Bunge
lililazimika kuahirisha vikao vyake kwa dakika 30 badala ya kujadili
mswada...
Kombe la Dunia kuchezwa Mei na June?
By Unknown at 11:25:00 AM
No comments
Chama cha
vilabu vikubwa vya soka barani ulaya (ECA) wanataka michuano ya kombe
la dunia ya mwaka 2022 yatayofanyika nchi Qatar yafanyike kati ya Mei 5
na Juni 4.
Shirikisho
...
Wednesday, December 17, 2014
Diamond akwea pipa aenda Uganda kwenye ''White Paty'' ya Zari
By Unknown at 6:10:00 PM
No comments
Staa
wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz amekwea pipa leo kuelekea nchini
Uganda kwenye ''''White Paty'' inayoandaliwa na anayedaiwa kuwa ni
mpenzi wake wa sasa aishiye nchini humo. Zari.Kupitia mtandao wa
Instagram Diamond aliandika hivi.....KAMPALA!!! UGANDA!!! your boy is on
his way... #Zari_AllWhite_CirocParty.
Zari...
Hii taarifa inawahusu wale watoto wawili wa Tanzania waliokua wameungana vifua.
By Unknown at 5:48:00 PM
No comments
Bila
shaka kila aliekua anawafatilia au kusikia taarifa za hawa watoto
atakua na hamu ya kujua kimeendelea nini baada ya kupelekwa kutibiwa
nchini India ambapo mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete amethibitisha
kupitia ukurasa wake wa twitter kwa kuyaandika haya.
‘Hospitali ya Apollo lndia imefanikiwa...
NAPE APONGEZA WAPINZANI
By Unknown at 5:41:00 PM
No comments
CHAMA Cha
Mapinduzi (CCM) kimevipongeza vyama vingine vya siasa nchini kwa
ushiriki wao kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuwataka waongeze
kasi kwani ushindi wao wa asilimia 14 hadi sasa ni mdogo, ukilinganisha
na umri wa mfumo wa vyama vingi nchini ambao...
Wednesday, December 3, 2014
RUSHWA SI AFRIKA PEKEE , NI UGONJWA UNAOSUMBUA SASA HATA NCHI ZILIZOENDELEA
By Unknown at 2:48:00 PM
No comments
Transparency International yasema rushwa ni tatizo kwa wote
Riport na DW
Katika ripoti yake ya leo (03.12.2014) shirika hilo lilisema rushwa
inaonekana kukithiri Uturuki na China na limetaka kuwepo ushirikiano wa
karibu wa kimataifa kuangamiza kabisa rushwa na matumizi mabaya ya
madaraka.
Katika...
HUYU DIAMOND PLATNAMZ TAYARI AMEISHIKA AFRIKA HIVI HIVI KIUTANI UTANI
By Unknown at 2:15:00 PM
No comments
Post Ya Msanii AKA Kuhusu Mapokezi Ya Diamond Tanzania.
By Sam Misago
AKA ni miongoni mwa rappers wakali Africa ambaye hivi karibuni
alikuwa South Africa na alishinda tuzo moja ya Channel O ambako pia
Diamond alikuwepo huko. Aka ame Repost video ya mapokezi ya Diamond
iliyowekwa...