Friday, December 19, 2014

Video Ya AliKiba Kutoka Leo, Itarushwa Kwenye Vituo Hivi Kwa Mara Ya Kwanza

Video iliyosubiriwa kwa muda mrefu na mashabiki wa Ali Kiba ‘Mwana’itaanza kuonyeshwa ijumaa ya leo December 19 2014. Ali Kiba amethibitisha kuwa video imekamilika kwa kutoa kionjo cha video hio na kusema ‘Video imetayarishwa na muongozaji kutoka Afrika Kusini na imefanyika maeneo ya mjii wa Cape ...

Balotelli afungiwa mchezo mmoja na faini

Chama cha Soka nchini Uingereza, kimemfungia mchezo mmoja, mshambuliaji wa Liverpool, Mario Balotelli ikiwa ni adhabu kutokana na kile Super Mario alichokiandika katika mitandao ya habari ya kijamii. Adhabu hiyo itamlazimisha nyota huyo wa Italia, kukosa mchezo wakati timu yake ya Liverpool itakapoikaribisha...

Jumuiya ya Ulaya yaungana dhidi ya Russia

Viongozi wa Ulaya wamemaliza kikao chao mjini Brussels Ubelgiji, wakisema kwa sasa wameungana zaidi kuliko ilivyokuwa awali katika kuikabili Urusi. Viongozi hao wameonesha kuwa vikwazo vya kiuchumi havitadhoofishwa licha ya matatizo ya kifedha yanayoikabili Urusi. Badala yake hatua...

Thursday, December 18, 2014

MANENO YA MAMA TIBAIJUKA KATIKA MKUTANO WAKE NA WAANDISHI WA HABARI JUU YA ESCROW.

 “Mimi Nijiuzulu kwa sababu gani? yaani kwa sababu ya mafanikio ya kuwakomboa wanawake kwenye Elimu ndio mimi nijuzulu,maana kujiuzulu kunasababu, na hakuna sababu ya mimi kufanya hivyo na sitofanya hivyo kwani wanaodai mimi nijiuzulu ni wanafiki wenye nia mbaya na mimi ,na mimi sijiuzulu...

Rihanna aajiriwa na Puma

Msanii wa muziki nchini Marekani Rihanna anajiandaa kuanza kufanya kazi katika kampuni ya michezo Puma.Mwanamziki huyo ametangazwa kuwa mkurugenzi wa ubunifu wa vifaa vya kike na atakuwa uso wa vifaa vya mazoezi vya wanawake. Rihana mwenye umri wa miaka 26 ataunda aina ya nguo zilizopo pamoja...

Wabunge warushiana ngumi bungeni Kenya

Wabunge wa Kenya wametofautiana vikali bunge na kuvuana mashati huku wakirushiana ngumi kufuatia mjadala kuhusu mswaada tatanishi wa usalama ambao wabunge wa upinzani wanasema unakiuka uhuru wa wakenya. Bunge lililazimika kuahirisha vikao vyake kwa dakika 30 badala ya kujadili mswada...

Kombe la Dunia kuchezwa Mei na June?

Chama cha vilabu vikubwa vya soka barani ulaya (ECA) wanataka michuano ya kombe la dunia ya mwaka 2022 yatayofanyika nchi Qatar yafanyike kati ya Mei 5 na Juni 4.   Shirikisho ...

Wednesday, December 17, 2014

Diamond akwea pipa aenda Uganda kwenye ''White Paty'' ya Zari

Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz amekwea pipa leo kuelekea nchini Uganda kwenye ''''White Paty'' inayoandaliwa na anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake wa sasa aishiye nchini humo. Zari.Kupitia mtandao wa Instagram Diamond aliandika hivi.....KAMPALA!!! UGANDA!!! your boy is on his way... #Zari_AllWhite_CirocParty. Zari...

Hii taarifa inawahusu wale watoto wawili wa Tanzania waliokua wameungana vifua.

Bila shaka kila aliekua anawafatilia au kusikia taarifa za hawa watoto atakua na hamu ya kujua kimeendelea nini baada ya kupelekwa kutibiwa nchini India ambapo mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete amethibitisha kupitia ukurasa wake wa twitter kwa kuyaandika haya. ‘Hospitali ya Apollo lndia imefanikiwa...

NAPE APONGEZA WAPINZANI

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimevipongeza vyama vingine vya siasa nchini kwa ushiriki wao kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuwataka waongeze kasi kwani ushindi wao wa asilimia 14 hadi sasa ni mdogo, ukilinganisha na umri wa mfumo wa vyama vingi nchini ambao...

Wednesday, December 3, 2014

RUSHWA SI AFRIKA PEKEE , NI UGONJWA UNAOSUMBUA SASA HATA NCHI ZILIZOENDELEA

Transparency International yasema rushwa ni tatizo kwa wote Riport na DW Katika ripoti yake ya leo (03.12.2014) shirika hilo lilisema rushwa inaonekana kukithiri Uturuki na China na limetaka kuwepo ushirikiano wa karibu wa kimataifa kuangamiza kabisa rushwa na matumizi mabaya ya madaraka. Katika...

HUYU DIAMOND PLATNAMZ TAYARI AMEISHIKA AFRIKA HIVI HIVI KIUTANI UTANI

Post Ya Msanii AKA Kuhusu Mapokezi Ya Diamond Tanzania. By Sam Misago AKA ni miongoni  mwa rappers wakali Africa ambaye hivi karibuni alikuwa South Africa na alishinda tuzo moja ya Channel O  ambako pia Diamond alikuwepo huko. Aka ame Repost video ya mapokezi ya Diamond iliyowekwa...