Video
iliyosubiriwa kwa muda mrefu na mashabiki wa Ali Kiba ‘Mwana’itaanza
kuonyeshwa ijumaa ya leo December 19 2014. Ali Kiba amethibitisha kuwa video
imekamilika kwa kutoa kionjo cha video hio na kusema ‘Video imetayarishwa
na muongozaji kutoka Afrika Kusini na imefanyika maeneo ya mjii wa Cape
...
Friday, December 19, 2014
Balotelli afungiwa mchezo mmoja na faini
By Unknown at 9:56:00 AM
No comments
Chama
cha Soka nchini Uingereza, kimemfungia mchezo mmoja, mshambuliaji wa
Liverpool, Mario Balotelli ikiwa ni adhabu kutokana na kile Super Mario
alichokiandika katika mitandao ya habari ya kijamii. Adhabu hiyo
itamlazimisha nyota huyo wa Italia, kukosa mchezo wakati timu yake ya
Liverpool itakapoikaribisha...
Jumuiya ya Ulaya yaungana dhidi ya Russia
By Unknown at 9:32:00 AM
No comments
Viongozi
wa Ulaya wamemaliza kikao chao mjini Brussels Ubelgiji, wakisema kwa
sasa wameungana zaidi kuliko ilivyokuwa awali katika kuikabili Urusi. Viongozi
hao wameonesha kuwa vikwazo vya kiuchumi havitadhoofishwa licha ya
matatizo ya kifedha yanayoikabili Urusi.
Badala yake hatua...
Thursday, December 18, 2014
MANENO YA MAMA TIBAIJUKA KATIKA MKUTANO WAKE NA WAANDISHI WA HABARI JUU YA ESCROW.
By Unknown at 5:13:00 PM
No comments

“Mimi Nijiuzulu kwa sababu gani? yaani kwa sababu ya mafanikio ya
kuwakomboa wanawake kwenye Elimu ndio mimi nijuzulu,maana kujiuzulu
kunasababu, na hakuna sababu ya mimi kufanya hivyo na sitofanya hivyo
kwani wanaodai mimi nijiuzulu ni wanafiki wenye nia mbaya na mimi ,na
mimi sijiuzulu...
Rihanna aajiriwa na Puma
By Unknown at 1:54:00 PM
No comments
Msanii wa muziki nchini Marekani Rihanna anajiandaa kuanza kufanya kazi katika kampuni ya michezo Puma.Mwanamziki huyo ametangazwa kuwa mkurugenzi wa ubunifu wa vifaa vya kike na atakuwa uso wa vifaa vya mazoezi vya wanawake.
Rihana
mwenye umri wa miaka 26 ataunda aina ya nguo zilizopo pamoja...
Wabunge warushiana ngumi bungeni Kenya
By Unknown at 1:41:00 PM
No comments
Wabunge
wa Kenya wametofautiana vikali bunge na kuvuana mashati huku
wakirushiana ngumi kufuatia mjadala kuhusu mswaada tatanishi wa usalama
ambao wabunge wa upinzani wanasema unakiuka uhuru wa wakenya.
Bunge
lililazimika kuahirisha vikao vyake kwa dakika 30 badala ya kujadili
mswada...
Kombe la Dunia kuchezwa Mei na June?
By Unknown at 11:25:00 AM
No comments
Chama cha
vilabu vikubwa vya soka barani ulaya (ECA) wanataka michuano ya kombe
la dunia ya mwaka 2022 yatayofanyika nchi Qatar yafanyike kati ya Mei 5
na Juni 4.
Shirikisho
...
Wednesday, December 17, 2014
Diamond akwea pipa aenda Uganda kwenye ''White Paty'' ya Zari
By Unknown at 6:10:00 PM
No comments
Staa
wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz amekwea pipa leo kuelekea nchini
Uganda kwenye ''''White Paty'' inayoandaliwa na anayedaiwa kuwa ni
mpenzi wake wa sasa aishiye nchini humo. Zari.Kupitia mtandao wa
Instagram Diamond aliandika hivi.....KAMPALA!!! UGANDA!!! your boy is on
his way... #Zari_AllWhite_CirocParty.
Zari...
Hii taarifa inawahusu wale watoto wawili wa Tanzania waliokua wameungana vifua.
By Unknown at 5:48:00 PM
No comments
Bila
shaka kila aliekua anawafatilia au kusikia taarifa za hawa watoto
atakua na hamu ya kujua kimeendelea nini baada ya kupelekwa kutibiwa
nchini India ambapo mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete amethibitisha
kupitia ukurasa wake wa twitter kwa kuyaandika haya.
‘Hospitali ya Apollo lndia imefanikiwa...
NAPE APONGEZA WAPINZANI
By Unknown at 5:41:00 PM
No comments
CHAMA Cha
Mapinduzi (CCM) kimevipongeza vyama vingine vya siasa nchini kwa
ushiriki wao kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuwataka waongeze
kasi kwani ushindi wao wa asilimia 14 hadi sasa ni mdogo, ukilinganisha
na umri wa mfumo wa vyama vingi nchini ambao...
Wednesday, December 3, 2014
RUSHWA SI AFRIKA PEKEE , NI UGONJWA UNAOSUMBUA SASA HATA NCHI ZILIZOENDELEA
By Unknown at 2:48:00 PM
No comments
Transparency International yasema rushwa ni tatizo kwa wote
Riport na DW
Katika ripoti yake ya leo (03.12.2014) shirika hilo lilisema rushwa
inaonekana kukithiri Uturuki na China na limetaka kuwepo ushirikiano wa
karibu wa kimataifa kuangamiza kabisa rushwa na matumizi mabaya ya
madaraka.
Katika...
HUYU DIAMOND PLATNAMZ TAYARI AMEISHIKA AFRIKA HIVI HIVI KIUTANI UTANI
By Unknown at 2:15:00 PM
No comments
Post Ya Msanii AKA Kuhusu Mapokezi Ya Diamond Tanzania.
By Sam Misago
AKA ni miongoni mwa rappers wakali Africa ambaye hivi karibuni
alikuwa South Africa na alishinda tuzo moja ya Channel O ambako pia
Diamond alikuwepo huko. Aka ame Repost video ya mapokezi ya Diamond
iliyowekwa...
Tuesday, November 18, 2014
Polisi wa kike waelezwa kudhalilishwa kufanyiwa kipimo cha bikira
By Unknown at 4:44:00 PM
No comments
Bikira ni kigezo muhimu katika kujiunga na jeshi la Polisi la nchi hiyo.
Serikali
ya Indonesia inaelezwa kuruhusu kuwafanyia wanawake wanaotaka kujiunga
na Jeshi la Polisi kipimo cha bikira ,shirika la Human rights Watch
limeeleza.
Shirika hilo uangalizi wa haki...
Monday, November 17, 2014
LESOTHO WAPIGA HATUA KATIKA HILI, TANZANIA TUNABAKI WAPI KURUHUSU "LIVE COVERAGE" VYOMBO VYA HABARI MAHAKANI?
By Unknown at 3:47:00 PM
No comments
ACCESS TO INFORMATION, FREEDOM OF EXPRESSION ,AVOID PRESS FREEDOM VIOLATION
Ni mdogo mdogo mpaka wataipata haki kamili wana habari wa Lesotho pamoja na Vyombo vyote vy habari nchini humo, Imeanza television ya Taifa ,then na vingine vitafuata. Tukumbuke pia Kenya nao walishawahi kufanya kitu kama...
Friday, November 14, 2014
MSIMAMAO WA LIGI ZA SOKA TANZANIA
By Unknown at 4:50:00 PM
No comments
Vodacom Premier LeagueSeason: 2014-2015
Table
Pos
Team
Pld
W
T
L
GoalsDiff Pts
1
•
Mtibwa Sugar
7
4
3
0
107 15
2
•
...
HII NI STORI NINAYOSHARE NA WEWE KUTOKA BBC SWAHILI
By Unknown at 3:51:00 PM
No comments
watoto waongea lugha mpya isiyojulikana
Watoto wakiwa wamekaa na mamayao wakila
chakula.nchini Uganda, watoto watatu waliofungiwa na baba yao kwa miaka
saba wameanza kuzungumza lugha isiofahamika
Watoto
watatu kutoka kijiji cha Barca katika kaunti ndogo ya...
Friday, October 31, 2014
Kiwango cha kalori katika pombe kitajwe
By Unknown at 3:03:00 PM
No comments
Wataka pombe ionyeshe kiwango cha kalori kupunguza vitambi na unene wa kupitiliza
Pombe
inatakiwa kuwa na nembo inayoonyesha kiwango cha kalori au kipimo cha
joto litolewalo na chakula ili kupunguza vitambi au unene wa kupita
kiasi.
Madaktari wa afya ya umma, wameonya kuwa glasi kubwa ya
mvinyo inaweza kuwa na kiasi cha kalori 200- sawa na donati, aina...
Sunday, October 19, 2014
Maji ya kuosha wafu,kivutio cha biashara
By Unknown at 3:07:00 PM
No comments
mortuary
Katika tukio la kushangaza na la kutaka kujiongezea mapato pamoja na kushamiri kwa biashara,wafanyibiashara wawili katika mtaa wa Lobengula nchini Zimbabwe walizozania maji machafu yanayopatikana baada ya kuosha wafu ambayo huyatumia kuvutia wateja.
Kwa mujibu wa BBC, Wawili hao waliojulikana...
Wakatoliki wakataa kuwatambua mashoga.
By Unknown at 3:01:00 PM
No comments
Ndoa ya mashoga
Makundi ya kikatoliki yanayopigania haki za wapenzi wa jinsia moja yameelezea ghadhabu yao kutokana na hatua ya maaskofu wa kanisa hilo ya kukataa mapendekezo ya kutangaza msimamo kuhusu mashoga, wasagaji pamoja na watu waliotalakiana na wanaoana.
Wakati wa kumalizika kwa mkutano...
Hizi ni nukuu za mapenzi kutoka kwa watu maarufu duniani october 19, 2014
By Unknown at 2:32:00 PM
No comments
“Only once in your life, I truly believe, you find someone who can completely turn your world around. You tell them things that you’ve never shared with another soul and they absorb everything you say and actually want to hear more. You share hopes for the future, dreams that will never come...
Friday, October 17, 2014
Hiki ndicho kilichowahi kutokea katika tarehe kama ya leo octoba 17, miaka mingi iliyopita
By Unknown at 3:36:00 PM
No comments
Miaka 41 iliyopita katika siku kama hii ya leo nchi za Kiarabu zinazouza nje mafuta zilianza kutekeleza vikwazo vya mafuta dhidi ya Marekani, Uingereza na makampuni yanayouuzia mafuta utawala wa Kizayuni wa Israel. Hatua hiyo ilichukuliwa kutokana na uungaji mkono mkubwa wa Marekani na Uingereza...
Who Will Sing the Song? The 144000 of Revelation 14
By Unknown at 3:18:00 PM
No comments
An Amazing FactDuring the Gulf War, a small team of U.S. Navy SEALS created a diversion so convincing that it completely fooled the Iraqi army. About a dozen SEALS stormed the beaches of Kuwait and created such havoc that Iraqi generals believed the U.S.-led attack was coming from the sea. Iraq sent...
Hizi ni nukuu mbali mbali zinazohusu maisha, zilizowahi kusemwa na watu maarufu duniani
By Unknown at 3:14:00 PM
No comments
“Don't cry because it's over, smile because it happened.”
― Dr. Seuss
“I'm selfish, impatient and a little insecure. I make mistakes, I am out of control and at times hard to handle. But if you can't handle me at my worst, then you sure as hell don't deserve me at my best.”
― Marilyn Monroe
“You only live once, but if you do it right, once is enough.”
― Mae West
“There...
Ebola:Annan akosoa mataifa ya Magharibi
By Unknown at 2:57:00 PM
No comments
Annan anasema hajaridhishwa na juhudi za mataifa ya magharibi kupambana na Ebola
Katibu mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan amekosoa ambavyo mataifa ya magharibi yameshughulikia janga la Ebola.
Bwana Annan ameambia BBC kwamba hajaridhishwa kamwe na hatua za mataifa ya magharibi kupambana...
Wakili asema Pistorius 'amefilisika'
By Unknown at 2:36:00 PM
No comments
Inaarifiwa Pistorius ametumia pesa zake kwa kesi inayomkabiliPistorius aliangua kilio wakili wake alipoambia mahakama kuwa amefilisika
Mahakama inayosikiliza kesi dhidi ya mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius imeambiwa kuwa mwanariadha huyo amefilisika.
Hili lesemekana huku pande...
Sunday, October 12, 2014
Vichwa vya habari magazeti ya leo October 12
By Unknown at 3:43:00 PM
No comments
/
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
,
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
...