Friday, December 19, 2014

Video Ya AliKiba Kutoka Leo, Itarushwa Kwenye Vituo Hivi Kwa Mara Ya Kwanza

Video iliyosubiriwa kwa muda mrefu na mashabiki wa Ali Kiba ‘Mwana’itaanza kuonyeshwa ijumaa ya leo December 19 2014. Ali Kiba amethibitisha kuwa video imekamilika kwa kutoa kionjo cha video hio na kusema ‘Video imetayarishwa na muongozaji kutoka Afrika Kusini na imefanyika maeneo ya mjii wa Cape ...

Balotelli afungiwa mchezo mmoja na faini

Chama cha Soka nchini Uingereza, kimemfungia mchezo mmoja, mshambuliaji wa Liverpool, Mario Balotelli ikiwa ni adhabu kutokana na kile Super Mario alichokiandika katika mitandao ya habari ya kijamii. Adhabu hiyo itamlazimisha nyota huyo wa Italia, kukosa mchezo wakati timu yake ya Liverpool itakapoikaribisha...

Jumuiya ya Ulaya yaungana dhidi ya Russia

Viongozi wa Ulaya wamemaliza kikao chao mjini Brussels Ubelgiji, wakisema kwa sasa wameungana zaidi kuliko ilivyokuwa awali katika kuikabili Urusi. Viongozi hao wameonesha kuwa vikwazo vya kiuchumi havitadhoofishwa licha ya matatizo ya kifedha yanayoikabili Urusi. Badala yake hatua...

Thursday, December 18, 2014

MANENO YA MAMA TIBAIJUKA KATIKA MKUTANO WAKE NA WAANDISHI WA HABARI JUU YA ESCROW.

 “Mimi Nijiuzulu kwa sababu gani? yaani kwa sababu ya mafanikio ya kuwakomboa wanawake kwenye Elimu ndio mimi nijuzulu,maana kujiuzulu kunasababu, na hakuna sababu ya mimi kufanya hivyo na sitofanya hivyo kwani wanaodai mimi nijiuzulu ni wanafiki wenye nia mbaya na mimi ,na mimi sijiuzulu...

Rihanna aajiriwa na Puma

Msanii wa muziki nchini Marekani Rihanna anajiandaa kuanza kufanya kazi katika kampuni ya michezo Puma.Mwanamziki huyo ametangazwa kuwa mkurugenzi wa ubunifu wa vifaa vya kike na atakuwa uso wa vifaa vya mazoezi vya wanawake. Rihana mwenye umri wa miaka 26 ataunda aina ya nguo zilizopo pamoja...

Wabunge warushiana ngumi bungeni Kenya

Wabunge wa Kenya wametofautiana vikali bunge na kuvuana mashati huku wakirushiana ngumi kufuatia mjadala kuhusu mswaada tatanishi wa usalama ambao wabunge wa upinzani wanasema unakiuka uhuru wa wakenya. Bunge lililazimika kuahirisha vikao vyake kwa dakika 30 badala ya kujadili mswada...

Kombe la Dunia kuchezwa Mei na June?

Chama cha vilabu vikubwa vya soka barani ulaya (ECA) wanataka michuano ya kombe la dunia ya mwaka 2022 yatayofanyika nchi Qatar yafanyike kati ya Mei 5 na Juni 4.   Shirikisho ...

Wednesday, December 17, 2014

Diamond akwea pipa aenda Uganda kwenye ''White Paty'' ya Zari

Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz amekwea pipa leo kuelekea nchini Uganda kwenye ''''White Paty'' inayoandaliwa na anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake wa sasa aishiye nchini humo. Zari.Kupitia mtandao wa Instagram Diamond aliandika hivi.....KAMPALA!!! UGANDA!!! your boy is on his way... #Zari_AllWhite_CirocParty. Zari...

Hii taarifa inawahusu wale watoto wawili wa Tanzania waliokua wameungana vifua.

Bila shaka kila aliekua anawafatilia au kusikia taarifa za hawa watoto atakua na hamu ya kujua kimeendelea nini baada ya kupelekwa kutibiwa nchini India ambapo mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete amethibitisha kupitia ukurasa wake wa twitter kwa kuyaandika haya. ‘Hospitali ya Apollo lndia imefanikiwa...

NAPE APONGEZA WAPINZANI

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimevipongeza vyama vingine vya siasa nchini kwa ushiriki wao kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuwataka waongeze kasi kwani ushindi wao wa asilimia 14 hadi sasa ni mdogo, ukilinganisha na umri wa mfumo wa vyama vingi nchini ambao...

Wednesday, December 3, 2014

RUSHWA SI AFRIKA PEKEE , NI UGONJWA UNAOSUMBUA SASA HATA NCHI ZILIZOENDELEA

Transparency International yasema rushwa ni tatizo kwa wote Riport na DW Katika ripoti yake ya leo (03.12.2014) shirika hilo lilisema rushwa inaonekana kukithiri Uturuki na China na limetaka kuwepo ushirikiano wa karibu wa kimataifa kuangamiza kabisa rushwa na matumizi mabaya ya madaraka. Katika...

HUYU DIAMOND PLATNAMZ TAYARI AMEISHIKA AFRIKA HIVI HIVI KIUTANI UTANI

Post Ya Msanii AKA Kuhusu Mapokezi Ya Diamond Tanzania. By Sam Misago AKA ni miongoni  mwa rappers wakali Africa ambaye hivi karibuni alikuwa South Africa na alishinda tuzo moja ya Channel O  ambako pia Diamond alikuwepo huko. Aka ame Repost video ya mapokezi ya Diamond iliyowekwa...

Tuesday, November 18, 2014

Polisi wa kike waelezwa kudhalilishwa kufanyiwa kipimo cha bikira

Bikira ni kigezo muhimu katika kujiunga na jeshi la Polisi la nchi hiyo.   Serikali ya Indonesia inaelezwa kuruhusu kuwafanyia wanawake wanaotaka kujiunga na Jeshi la Polisi kipimo cha bikira ,shirika la Human rights Watch limeeleza. Shirika hilo uangalizi wa haki...

Monday, November 17, 2014

LESOTHO WAPIGA HATUA KATIKA HILI, TANZANIA TUNABAKI WAPI KURUHUSU "LIVE COVERAGE" VYOMBO VYA HABARI MAHAKANI?

ACCESS TO INFORMATION, FREEDOM OF EXPRESSION ,AVOID PRESS FREEDOM VIOLATION Ni mdogo mdogo mpaka wataipata haki kamili wana habari wa Lesotho pamoja na Vyombo vyote vy habari nchini humo, Imeanza television ya Taifa ,then na vingine vitafuata. Tukumbuke pia Kenya nao walishawahi kufanya kitu kama...

Friday, November 14, 2014

MSIMAMAO WA LIGI ZA SOKA TANZANIA

Vodacom Premier LeagueSeason: 2014-2015 Table Pos     Team Pld W T L GoalsDiff Pts 1 • Mtibwa Sugar 7 4 3 0 107 15 2 • ...

HII NI STORI NINAYOSHARE NA WEWE KUTOKA BBC SWAHILI

watoto waongea lugha mpya isiyojulikana Watoto wakiwa wamekaa na mamayao wakila chakula.nchini Uganda, watoto watatu waliofungiwa na baba   yao kwa miaka saba wameanza kuzungumza lugha isiofahamika   Watoto watatu kutoka kijiji cha Barca katika kaunti ndogo ya...

Friday, October 31, 2014

Kiwango cha kalori katika pombe kitajwe

Wataka pombe ionyeshe kiwango cha kalori kupunguza vitambi na unene wa kupitiliza Pombe inatakiwa kuwa na nembo inayoonyesha kiwango cha kalori au kipimo cha joto litolewalo na chakula ili kupunguza vitambi au unene wa kupita kiasi. Madaktari wa afya ya umma, wameonya kuwa glasi kubwa ya mvinyo inaweza kuwa na kiasi cha kalori 200- sawa na donati, aina...

Sunday, October 19, 2014

Maji ya kuosha wafu,kivutio cha biashara

mortuary Katika tukio la kushangaza na la kutaka kujiongezea mapato pamoja na kushamiri kwa biashara,wafanyibiashara wawili katika mtaa wa Lobengula nchini Zimbabwe walizozania maji machafu yanayopatikana baada ya kuosha wafu ambayo huyatumia kuvutia wateja. Kwa mujibu wa BBC, Wawili hao waliojulikana...

Wakatoliki wakataa kuwatambua mashoga.

Ndoa ya mashoga Makundi ya kikatoliki yanayopigania haki za wapenzi wa jinsia moja yameelezea ghadhabu yao kutokana na hatua ya maaskofu wa kanisa hilo ya kukataa mapendekezo ya kutangaza msimamo kuhusu mashoga, wasagaji pamoja na watu waliotalakiana na wanaoana. Wakati wa kumalizika kwa mkutano...

Hizi ni nukuu za mapenzi kutoka kwa watu maarufu duniani october 19, 2014

“Only once in your life, I truly believe, you find someone who can completely turn your world around. You tell them things that you’ve never shared with another soul and they absorb everything you say and actually want to hear more. You share hopes for the future, dreams that will never come...

Friday, October 17, 2014

Hiki ndicho kilichowahi kutokea katika tarehe kama ya leo octoba 17, miaka mingi iliyopita

Miaka 41 iliyopita katika siku kama hii ya leo nchi za Kiarabu zinazouza nje mafuta zilianza kutekeleza vikwazo vya mafuta dhidi ya Marekani, Uingereza na makampuni yanayouuzia mafuta utawala wa Kizayuni wa Israel. Hatua hiyo ilichukuliwa kutokana na uungaji mkono mkubwa wa Marekani na Uingereza...

Who Will Sing the Song? The 144000 of Revelation 14

An Amazing FactDuring the Gulf War, a small team of U.S. Navy SEALS created a diversion so convincing that it completely fooled the Iraqi army. About a dozen SEALS stormed the beaches of Kuwait and created such havoc that Iraqi generals believed the U.S.-led attack was coming from the sea. Iraq sent...

Hizi ni nukuu mbali mbali zinazohusu maisha, zilizowahi kusemwa na watu maarufu duniani

“Don't cry because it's over, smile because it happened.”  ― Dr. Seuss “I'm selfish, impatient and a little insecure. I make mistakes, I am out of control and at times hard to handle. But if you can't handle me at my worst, then you sure as hell don't deserve me at my best.”  ― Marilyn Monroe “You only live once, but if you do it right, once is enough.”  ― Mae West “There...

Ebola:Annan akosoa mataifa ya Magharibi

Annan anasema hajaridhishwa na juhudi za mataifa ya magharibi kupambana na Ebola Katibu mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan amekosoa ambavyo mataifa ya magharibi yameshughulikia janga la Ebola. Bwana Annan ameambia BBC kwamba hajaridhishwa kamwe na hatua za mataifa ya magharibi kupambana...

Wakili asema Pistorius 'amefilisika'

Inaarifiwa Pistorius ametumia pesa zake kwa kesi inayomkabiliPistorius aliangua kilio wakili wake alipoambia mahakama kuwa amefilisika Mahakama inayosikiliza kesi dhidi ya mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius imeambiwa kuwa mwanariadha huyo amefilisika. Hili lesemekana huku pande...

Sunday, October 12, 2014

Vichwa vya habari magazeti ya leo October 12

/ . . . . . . . . . . , . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...