Monday, December 21, 2015

Upasuaji kwa njia ya Roboti

Hospitali moja katika manispaa ya Chongqing nchini China imefaulu kutumia roboti kufanya upasuaji wa kutoa uvimbe kutoka mwili wa mgonjwa wa saratani ya kongosho.Hospitali hiyo imesema kuwa huo ulikuwa upasuaji wa kwanza wa aina hiyo kuwahi fanywa na roboti kote duniani. ...

Thursday, December 17, 2015

Maelfu waandamana kupinga utawala wa Zuma

Maelfu ya watu wameandamana katika miji mikuu ya Afrika Kusini wakitaka kutimuliwa kwa Rais Jacob Zuma kwa madai kuwa visa vya ufisadi na mapendeleo vimeongezeka sana. Makundi yaliyoandaa maandamano hayo yamekuwa yakitumia kitambulisha mada #zumamustfall kutafuta uungwaji mkono mtandaoni. Maandamano...

Video ya dk 4 ikimuonesha Balozi Ombeni Sefue akizungumzia kutenguliwa kwa Dr.Hosea TAKUKURU

SOURCE: MICHUZI B...

Wednesday, December 16, 2015

Magufuli amfuta mkuu wa kupambana na rushwa Dr.Edward Hosea

Ima Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Dkt Edward Hoseah, na pia akawasimamisha kazi maafisa wa nne wa taasisi hiyo. Rais Magufuli amesema hajaridhishwa "na namna taasisi hiyo ilivyokua...

Wednesday, November 25, 2015

Kama wewe unatafuta ajira, taarifa hii kutoka Secretariate ya Ajira na Utumishi wa Umma Tanzania Inakuhusu

Maelekezo muhimu ya ujazaji wa Taarifa kwenye mfumo wa Recruitment Portal kwa waombaji kazi  Sekretarieti ya ajira katika utumishi wa Umma imeanzisha mfumo wa kielektroniki wa utumaji wa maombi ya kazi (Recruitment Portal) ambao humsaidia muombaji kazi kutuma maombi hayo popote alipo ndani na nje ya Nchi kwa njia ya mtandao. Ni muhimu kuzingatia kuwa kabla ya ujazaji wa taarifa kwenye mfumo...

Tuesday, November 24, 2015

Pic of the Day

Mshindi wa ‪#‎AirtelTRACEMusicStar‬ @Mayungaa akiwa na @AKON  nchini Marekani ambapo ameenda kwa ajiri ya kurekodi single moja  na Star huyo wa Ghetto. ...

Mitandao ya Kijamii Kenya na Rais Magufuli wa Tanzania

Uchapakazi wa Rais Dkt John Magufuli unatuma ujumbe si kwa maafisa wa Tanzania pekee, bali na nchi za jirani pia na kuwaacha viongozi wa nchi hizo kwenye wakati mgumu. Kenya ambayo imekuwa ikifuatilia siasa za Tanzania tangu wakati wa kampeni, imeonesha kupenda mbinu za Magufuli na wananchi...

Tuesday, September 8, 2015

Kenya yaanzisha operesheni kuzima Alshabab

Rais Kenyatta amemuagiza inspekta mkuu wa polisi kuendesha operesheni dhidi ya ugaidi. Operesheni hiyo inayoendeshwa na vikosi maalum vya...

Sunday, September 6, 2015

RAMSEY NOAH: Mimi na Siasa mbalimbali

Wakati wimbi la kisiasa likiwachukua wasanii wengi wa Tanzania kutoka tasnia ya muziki na wale wa maigizo( Bongo Movie), nchini Nigeria imekuwa tofauti kwa msanii wa maigizo nchini humo Ramsey Noah, ambaye pia ni staa wa movie ya Kibongo The Devil Kingdom aliyoshirikishwa na Marehemu Stevene Kanumba....

ACACIA Yaidhamini Stendi United kwa Kitita cha shilingi bilioni moja

Kampuni ya uchimbaji wa madini ya dhahabu ya Acacia iliingia mkataba wa miaka miwili na timu ya Stend United ya Mkoani Shinyanga kwa ajili ya kushiriki ligi kuu ya Vodacom ambayo inategemewa kuanza tutimua vumbi katikati ya mwezi huu. Stand United ni moja kati ya timu bora kabisa katika kanda...

Al Shabab wateka miji miwili kusini mwa Somalia

  Magaidi wa kundi la al Shabab wamedai kuchukua udhibiti wa miji miwili kusini magharibi mwa Somalia siku chache tu baada ya kushambulia kituo cha vikosi vya Umoja wa Afrika katika eneo hilo. Msemaji wa al Shabab amesema kundi hilo limeteka miji miwili midogo katika eneo la Lower Shabelle...

Saturday, September 5, 2015

Hivi ndivo Juan Cuadrado alivofanyiwa na Shabiki wa Juventus kwa Mapenzi mema

Winga wa kimataifa wa Colombia na klabu ya Chelsea  Juan Cuadrado ambaye kwa sasa anacheza kwa mkopo katika klabu ya Juventus ya Italia, shabiki wake kafanya jambo hili la kuvutia baada ya kufurahishwa...

MwanaHalisi yaachiwa Huru-

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imesema Waziri wa Habari, Dk. Fennela Mkangara hakufuata utaratibu wa kisheria katika kulifungia gazeti la MwanaHALISI Julai 30 miaka mitatu iliyopita. Anaandika Erasto Stanslaus … (endelea...

Diamond Platnumz atwaa Tuzo nchini Uganda

Kushoto ni tuzo aliyochukua Diamond Platnumz. MKALI wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametwaa tuzo ya Msanii Bora wa Afrika katika tuzo zilizotolewa na Uganda Entertainment. Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Diamond amewashukuru mashabiki wake waliompigia kura na kufanikiwa...

Mashehe 6 waliotekwa DRC wazungumza yaliyowasibu baada ya kurudi nchini

...

Ebola yatatiza tena Sierra Leone

Watu 1,000 nchini Sierra Leone wamewekwa kwenye karantini baada ya kugunduliwa kuwa mwanamke wa umri wa miaka 67 alifariki kutokana na Ebola. Hilo limejiri siku tano tu baada ya kuanza kwa hesabu ya wiki sita iliyolenga kutangaza taifa hilo kuwa bila Ebola.  ...

Putin: Sera mbovu za Ulaya, sababu ya mgogoro wa wahajiri'

  Rais Vladmir Putin wa Russia amesema leo kuwa, mgogoro wa wahajiri unaolikabili bara Ulaya kwa sasa umetokana na sera mbovu za kigeni za nchi za bara hilo hususan zile ambazo ni wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU). Kiongozi huyo amesisitiza kuwa, uingiliaji...

Kikwete: Uwajibikaji utasaidia maendeleo ya Afrika

Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania amesema mapema leo kuwa, uwazi na uwajibikaji utasaidia kuharakisha maendeleo barani Afrika. Rais Kikwete amesema hayo wakati wa kufungua rasmi mkutano wa takwimu huria barani Afrika ulioanza leo jijini Dar es Salaam. Kwenye hotuba yake Rais...

Monday, June 22, 2015

Jaji Warioba asema kitu juu ya wagombea urais CCM

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amewashangaa makada wanaojinadi kuwa ni wasafi na waadilifu, akisema sifa hizo zinatakiwa zitolewe na jamii. Jaji Warioba, mmoja wa watu ambao wamekuwa wakikemea masuala ya ukiukwaji wa maadili, pia amesema...

Usher Raymond na Justin Beiber kulipa faini kwa kukopi wimbo wa "Somebody to Love"

...

Vilabu ruksa kusajili 7 wa kigeni Ligi Kuu Tanzania Bara

Kiwango cha ushindani Ligi kuu ya Tanzania Bara kinatarajiwa kuongezeka na kufungua milango zaidi kwa wachezaji wa kigeni baada ya vilabu kuruhusiwa kusajili wachezaji 7 wa kigeni kuanzia msimu ujao wa ligi. Awali, baadhi ya vilabu vinavyoshiriki ligi kuu ya Tanzania Bara...

Mchezaji wa kigeni kulipa Tanzania

Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) limepitisha azimio la kila mchezaji wa kigeni kulipa dola 2,000 ( wastani wa milioni 5) kwa kila msimu atakaocheza ligi kuu ya Tanzania. Kiasi hicho cha pesa kitaanza kulipwa katika msimu ujao wa ligi wa 2015/2016 . Wachezaji wa kigeni waliosalia kuendelea...

Sunday, April 26, 2015

De Gea kupewa ofa ya Paund 200,000 ili kubaki old trafford na kupewa Kipa anaelipwa fedha nyingi zaidi

David de gea amekua akihusiswa na kuhamia Real Madrid misimu huu utakavyokwisha. Manchester united wamempa ofa ya paundi 200,000 ili abaki Kama atasaini atakua golikipa anaelipwa zaidi duniani Louis van Gaal alikubali ijumaa hii kwamba klabu imempa mshahara mkubwa sana. Manchester...

TIGO WAMEINGIA KATIKA HEADLINES WAZINDUA INTANETI YA KASI ZAIDI 4G LTE

Muonekano katika duka la tigo mlimani city ambapo wateja walishuhudia jinsi gani mtandao huu wa kasi wa intaneti unavyofanya kazi kwa kuona matukio laivu kwa kutumia mtandao wa intaneti Kampuni ya simu Tigo Tanzania leo imezindua teknolojia mpya ijulikanayo kama 4G LTE ambayo utaifanya...

Je,miraa inaongeza nguvu za kiume?

Wanaume katika eneo la Meru mashariki mwa Kenya ambao hawana uwezo wa kuwatosheleza wake zao kupitia tendo la ngono sasa wametakiwa kutokuwa na wasiwas...

Friday, April 24, 2015

JK AONGOZA MAZISHI YA KITENGA MKOANI MOROGORO

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete (pichani kati) na Waziri Mkuu Mh.Mizengo Pinda (pichani shoto) wakishuhudia askari wa jeshi la Wananchi (JWTZ) wakipiga risasi...

SHEREHE YA UKUZAJI WA KISWAHILI YAENDELEA WASHINGTON, DC

Rais wa CHAUKIDU Prof Lioba Moshi watatu toka kushoto akimkaribisha Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi mara tu alipowasili kama mgeni rasmi chuo kikuu cha Howard Washington, DC siku ya Alhamisi April 23, 2015 kulia ni Prof Venessa White...

Wanawake wanaokuwa watawa waongezeka UK kutoka 15 kwa mwaka hadi 45

   Watawa katika mkutano na kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa Francis Idadi ya wanawake wanaokuwa watawa imeongezeka pakubwa katika kipindi cha miaka 25,kanisa katoliki nchini Uingereza na Wales limesema. Takwimu zinaonyesha kuwa...

Boko Haram labadilisha jina Nigeria

Kiongozi wa wapiganaji wa Boko Haram Abubakar Shekau Picha mpya zimetolewa kuhusu wapiganaji wa Boko Haram ambao wanajielezea kuwa Islamic State Jimbo la Magharibi mwa Afrik...

Wednesday, January 28, 2015

Kombe la mataifa ya Afrika 2015

Kundi D    Cameroon vs Cote d'voire  18:00 Guinea...

Kisa Cha Marafiki Watatu: Julius, Oscar Na Rashid..

 Ndugu zangu, Nimeandika huko nyuma, kuwa watatu hawa, Julius Nyerere, Oscar Kambona na Rashid Kawawa, kuwa ndio walikuwa Watanganyika wenye nguvu na ushawishi mkubwa kwenye Tanganyika Huru. Nchi ilikuwa changa, na viongozi nao walikuwa wachanga...

Sunday, January 18, 2015

JE UGUNDUZI WA KIFAA HIKI UTAWEZA KUPUNGUZA MICHEPUKO KATIKA MAHUSIANO?

Waswahili husema kwamba siku za mwizi ni arobaini. Msemo huo sasa huenda ukafanikishwa miongoni mwa akina baba ambao huenda kinyume na ndoa zao na wabakaji. Hii ni baada ya kubuniwa kwa kifaa kwa jina Semenspy kilicho na uwezo wa kubaini majimaji yaliosalia katika chupi,nguo za kulalia,katika...

TANGAZO LA MTIHANI KIDATO CHA NNE 2015

 Katibu Mkuu wa Baraza la Mitihani Tanzania Dr. Charles Msonde Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania anapenda kuwatangazia watu wote wanaotaka kufanya Mtihani wa Kidato Cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT) Mwezi Novemba 2015 kwamba usajili umeanza rasmi tarehe 01 Januari 2015.  Watahiniwa ...